Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 173
Mwalimu Nyerere alituachia kauli mbiu ambayo nafikiri mpaka leo bado ina logic, alisema "ILI TUENDELEE TUNAHITAJI VITU VINNE, ARDHI, WATU SIASA SAFI NA UONGOZI BORA". Ukitazama wote wenye maendeleo wanapitia katika misingi hii hii aliyoisema Nyerere, China moja ya nchi zilizopiga hatua kubwa sana kimaendeleo katika muda mfupi ukiwa kiongozi na ukavunja maadili ya uongozi jua shaba unakusubiri. Kwa nini wasiendelee, sisi ndio kwanza utapewa heshima kubwa, ajabu!!!!!!!!!!.