Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,786
- 156,908
Na mijeledi juuNgoja waje mafarisayo hapa hawachelewi kukusulubisha
Na mijeledi juuNgoja waje mafarisayo hapa hawachelewi kukusulubisha
SoMa Post hii ya Mwenzio akiwalaumu Viongozi wa WapinzaniUnajudanganya, hizo ni juhudi za serikali cyo mbowe...lini alitoa hela yake mfukoni?
Duh sasa huo ndio udandiaji wa hali ya juu. Hiyo Badget ya kujenga hizo barabara kazitoa wapi, na hao contractor aliwapa tenda yeye. Nadhani hata huo upanuzi wa Barabara ya kutoka Arusha hadi Himo itakuwa ni juhudi zake hiyo mikoa miwili ni ngome ya chama chake.
Wizara ya ujenzi na wizara nyingi muhimu, zina viongozi wengi wa kutoka hiyo mikoa ya Kilimanjaro na Arusha, mara nyingi huwa wanaipanga mipango kwa kupendelea kwao.Mkuu mbona huku simiyu ndani tuna mbunge wa ccm na hatuna barabara nzuri, au serikali inafanya maendeleo majimbo ya Chadema tu?