mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,607
- 1,596
Tumekua tukimsikia mara nyingi Mh Rais Magufuli akisema maendeleo hayana Chama, Ila je ni wangapi wanaojua maana ya maneno hayo?
Niseme tu kwamba kuna watu wachache sana wanapotosha maneno hayo. "maendeleo hayana chama" anayopenda kuyatumia Mh Raisi Magufuli kwa makusudi au kwa kutokujua.
Maana ya maneno "maendeleo hayana Chama ni kwamba" hata kama wewe una mapenzi na Chama kingine tofauti na CCM ila maendeleo anayofanya Mh Rais Magufuli mfano miundombinu ya Usafiri kama Barabara, Madaraja, Meli, Ndege, Treni n.k watu wa vyama vyote watatumia.
Pia kuna miundombinu ya Afya aliyojenga Mh Rais Magufuli kama Hospitali, Zahanati n.k pia watatumia watu wa vyama vyote.
Miundombinu ya Elimu kama Mikopo ya vyuo vikuu, Elimu bure kwa Shule za Sekondari na Msingi n.k hivyo vyote wanafuika ni watu wa vyama vyote.
Nimejaribu kuandika kwa kifupi ili ieleweke.
Magufuli mitano tena (2020-2025)
Chagua Magufuli kwa maendeleo ya kweli.
Niseme tu kwamba kuna watu wachache sana wanapotosha maneno hayo. "maendeleo hayana chama" anayopenda kuyatumia Mh Raisi Magufuli kwa makusudi au kwa kutokujua.
Maana ya maneno "maendeleo hayana Chama ni kwamba" hata kama wewe una mapenzi na Chama kingine tofauti na CCM ila maendeleo anayofanya Mh Rais Magufuli mfano miundombinu ya Usafiri kama Barabara, Madaraja, Meli, Ndege, Treni n.k watu wa vyama vyote watatumia.
Pia kuna miundombinu ya Afya aliyojenga Mh Rais Magufuli kama Hospitali, Zahanati n.k pia watatumia watu wa vyama vyote.
Miundombinu ya Elimu kama Mikopo ya vyuo vikuu, Elimu bure kwa Shule za Sekondari na Msingi n.k hivyo vyote wanafuika ni watu wa vyama vyote.
Nimejaribu kuandika kwa kifupi ili ieleweke.
Magufuli mitano tena (2020-2025)
Chagua Magufuli kwa maendeleo ya kweli.