Tangu kuingia kwa awamu ya tano, tumeshuhudia mageuzi makubwa katika sekta ya elimu, afya, maji, miundombinu na viwanda. Maageuzi ya haya ni matokeo ya usimamizi bora rasilimali za nchi unaofanywa na Rais Maguful. Kwa kufanya mageuzi haya, Rais Magufuli anaamini katika maendeleo ya Tanzania kwa watanzania wote na huwa anajaribu kuelezea umuhimu wa watanzania kufanya kazi kwa bidii kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi za vyama
Ushahidi wa haya ni kauli ya Rais Magufuli ya kuwa ‘maendeleo hayana chama’. Kupitia kauli hii Mhe. Rais anajaribu kutukumbusha umuhimu wa watanzania kushirikiana kuleta maendeleo bila kujali itikadi ya vyama vyao. Licha ya kwamba CCM ndio ndio inaongoza nchi na kuleta sera za maendeleo kwa wananchi na ni CCM hiyohiyo inaamini haiwezi kuleta maendelo pekee yake bila ushirikishwaji wa vyama vya upinzani na watanzania kwa ujumla. Je, upinzani unashiriki ipasavyo kuleta maendeleo?
Katika shughuli za kimaendeleo wapinzani wanagoma kushiriki kwa sababu za kisiasa na kushindwa kukubaliana na kauli ya rais kwamba maendeleo hayana chama. Ushiriki wa upinzani ktika shughuli za maendeleo ni muhimu kwa nchi. Je, upinzani unafahamu kutoshiriki shughuli za kimaendeleo kwa sababu za kisiasa kunafanya waamini maendeleo ni ya CCM tu?
Maendeleo hayana chama inamaanisha kuwa miradi ya serikali inapowekwa mahali ni wananchi wote watafaidika nayo na si wanaCCM ama wapinzani pekee, kila mtu atatumia kadiri ya mahitaji na uwezo wake.
Serikali ya CCM inajizitatiti kupeleka maendeleo yatakayotumiwa na kila mtanzania na si wanachama wa chama Fulani cha siasa.
Wapinzani wamekuwa na ufinyu wa fikra kwamba serikali ya CCM inapendelea baadhi ya sehemu, sehemu zingine haipeleki kwa sababu za kisiasa. Huu sio ukweli, serikali inapeleka maendeleo sehemu kwenye fursa za kiuwekezaji ili kukuza uwekezaji hasa wa viwanda ili kuendana na sera ya Tanzania ya viwanda.
Karlo Mwilapwa
Ushahidi wa haya ni kauli ya Rais Magufuli ya kuwa ‘maendeleo hayana chama’. Kupitia kauli hii Mhe. Rais anajaribu kutukumbusha umuhimu wa watanzania kushirikiana kuleta maendeleo bila kujali itikadi ya vyama vyao. Licha ya kwamba CCM ndio ndio inaongoza nchi na kuleta sera za maendeleo kwa wananchi na ni CCM hiyohiyo inaamini haiwezi kuleta maendelo pekee yake bila ushirikishwaji wa vyama vya upinzani na watanzania kwa ujumla. Je, upinzani unashiriki ipasavyo kuleta maendeleo?
Katika shughuli za kimaendeleo wapinzani wanagoma kushiriki kwa sababu za kisiasa na kushindwa kukubaliana na kauli ya rais kwamba maendeleo hayana chama. Ushiriki wa upinzani ktika shughuli za maendeleo ni muhimu kwa nchi. Je, upinzani unafahamu kutoshiriki shughuli za kimaendeleo kwa sababu za kisiasa kunafanya waamini maendeleo ni ya CCM tu?
Maendeleo hayana chama inamaanisha kuwa miradi ya serikali inapowekwa mahali ni wananchi wote watafaidika nayo na si wanaCCM ama wapinzani pekee, kila mtu atatumia kadiri ya mahitaji na uwezo wake.
Serikali ya CCM inajizitatiti kupeleka maendeleo yatakayotumiwa na kila mtanzania na si wanachama wa chama Fulani cha siasa.
Wapinzani wamekuwa na ufinyu wa fikra kwamba serikali ya CCM inapendelea baadhi ya sehemu, sehemu zingine haipeleki kwa sababu za kisiasa. Huu sio ukweli, serikali inapeleka maendeleo sehemu kwenye fursa za kiuwekezaji ili kukuza uwekezaji hasa wa viwanda ili kuendana na sera ya Tanzania ya viwanda.
Karlo Mwilapwa