Unaota kalale tena. Kodi zinakusanywa na naniNdugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaota kalale tena. Kodi zinakusanywa na naniNdugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Tabasamu murua
Ulitaka tukapige picha vi eitee mnazo tembelea makatibu wa CCM na mawaziri?Au ulitaka tukapige picha midege ya bombadia iliyo paki pale uwanja wa ndege iliyokosa abiria Kibwetele?
Unatakiwa kusoma na kuelewa malengo na majukumu ya vyama vya siasa kwa mujibu wa sayansi ya siasa (political science). Chama cha Siasa sio NGO/ FBO/ CSO.Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Una jenga na una to a, au una fadhili miradi ya maendeleo kama mabeberu, kama Nimrod Nkono kule Mara...Bila kuwa na vibali haviruhusiwi
Nikweli ila ccm wana shule... Shule za jumuhiya za wazazi...Unatakiwa kusoma na kuelewa malengo na majukumu ya vyama vya siasa kwa mujibu wa sayansi ya siasa (political science). Chama cha Siasa sio NGO/ FBO/ CSO.
Vianze kujitolea kukusanya kodi kwanza🐒Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Havikisanyi kodi kwa niaba ya wananchiNdugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Kwa hyo hakuna chamaana kilichofanyika ,ni mabaya Tu ndo yanayooneka ,je tunawezaje kukuamini kuwa darasa Hilo huwa linatumika .mbona hakuna picha ya mwanafunzi mazingira hayoo ...wewe ni mzushi na nashauli watu wakupuzeee.vyama vya upinzani kila mwaka kuna ruzuku mnapata mbona hamjajenga hata zahanati ya milioni 5Katika nchi ambayo iko Uchumi wa Kati , nchi ambayo hununua mijidege kwa malipo Taslimu , hizi ndizo shule zake zilizotapakaa kote nchini .
View attachment 1961138
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kama kuna nchi ina mifumo ya ajabu basi nii yetu. Ilo unalolisema la upinzani kujenga zahanat , shule na other institutions za kuweza kutumika na umma, ni jambo ambalo lina tija sana, na laiti ingekuwa rahisi basi ingesaidia sana. Ila bongo miyeyusho, huwezi fanya hayo mambo bila kibali.Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Unaweza peleka mwanao akasome hapo?Ulipoipiga hiyo picha umefaidika nini
Ila bavicha mnakuwaga vichwa panzi sana. Shule umesema iko Mbalali halafu unasema ni nchi nzima. Siku hizi kuna nchi inaitwa Mbalali?hizi ndizo shule zake zilizotapakaa kote nchini
Wapeni nchi ili muone mfano wa kuigwa!Au Kwenye Makusanyo,iwe inatengwa kiasi fulani kwenda kwa wapinzani!Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Na Kilema pia marangu mtoni ukienda kushoto ni mambo ya kawaida TZNyingine kama hiyo niliiona Machame!
Weeeeee nyamaza tafadhaliMhh, I doubt this statement. I have seen ppl doing stuff without asking for permission, especially kind of renovating schools etc.
Broh chochote chenye hisia za kisiasa ni nadra sana serikali kutoa go ahead.Mhh, I doubt this statement. I have seen ppl doing stuff without asking for permission, especially kind of renovating schools etc.
Wakati mwingine CCM haina shida. Shida kubwa ipo kwenye Vichwa vya baadhi ya waliopo ndani ya CCMTatizo mnaruka ruka tu na kucheza ngoma mnayopigiwa. Hana mikakati ya kuiondoa ccm