Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Kwahiyo Leo lowasa siyo fisadi tena au unataka kusema nini.
CCM na ndani ya Serikali na katika vitengo nyeti Wapo mafisadi wangapi kumfananisha na Lowasa mnaemtuhumu tu ?.
Huyo Lowasa baada ya kujiuzulu ufisadi ulipungua au ndio uliongezeka?.
Msitafute sababu ya kujifichia kwa Lowasa ili mpate huruma kwa wananchi ,mmeshindwa kwa miaka 50 sasa kutoa matokeo tuliyoyatarajia kama wananchi so mnatakiwa mkae pembeni.
Madaraka yanatoka kwetu wananchi na sisi kwa wingi wetu na ulofa wetu na kwa ujinga wetu tumewakataa sababu bado adui 'Ujinga' yupo anarandaranda na sasa hivi mmepandisha cheo ili azidi kutupumbazia wanetu.na yule mwingine 'Maradhi' huyu ndio balaa kila siku anachukuwa watu wetu na kutuacha wakiwa...
Hawa jamaa mmewashindwa kabisa kuwaondoa ,hivyo sisi tutawaondoa ninyi na kuweka wapambanaji wengine maana hali tuliyofikia tunashindwa hata kufikiri kwa akili zetu ...