johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,777
- 141,652
Kundi la wadudu aina ya panzi ( nzige) wamevamia mashamba na bustani katika eneo la sukita Tabata kando kando ya mto msambazi jijini Dar es salaam.
Wakazi wa eneo hilo wameomba wataalamu wa wizara ya kilimo wafike haraka kufanya uchunguzi na hatimaye kuwaangamiza kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wakazi wa eneo hilo wameomba wataalamu wa wizara ya kilimo wafike haraka kufanya uchunguzi na hatimaye kuwaangamiza kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!