Darasa lako ni la kutufundisha wizi?
mbona nao airtel ni wezi tu
Kuna uwezekano wa kutoa na kuweka laini kwenye moderm bila ya kuichomoa kwenye PC?. Nijuzeni wandugu.
MAJIBU YENU WADAU.
>>>>KAMA MIMI MUONGO BASI NIPENI ADHABU YOYOTE
ZANGATIA YAFUATAYO
1.NUNA LINE 2 ZA AIRTEL
2.SAA SITA USIKU,WEKA LINE MOJA KWENYE MODEM HALAF PING
3 IKIFIKA SAA KUMI NA MOJA,BADILI HIYO LINE.WEKA ILE NYINGINE HALAFU PING TENA
4.NAKUHAKIKISHIA KUWA HUTAKUWA DISCONNECTED KWA SIKU NZIMA
ANGALIZO:
USIIZIME WALA KUICHOMOA MODEM YAKO.KAMA UTAZINGATIA HAYO.SURE,UTATUMIA NET BURE.
KAMA MIMI MUONGO,KABLA HUJANI LAUM SANA,JARIBU KWANZA.
>>>> KAMA HAUAMIN ITS OK
UKITAKA KUSOMA,,NENDA KWENYE HII THREAD AMBAYO NILIIANDIKA JANA HAPA HAPA JAMII FORUM .
KABLA HUJALAUMU NA KUKEJELI,NI BORA UKAJARIBU.NILICHO ANDIKA NI CHA UKWELI
THREAD IPO HAPA <<BOFYA>>
ninacho maanisha ni kwamba,mfano,leo ni tarehe 14.unataka tarehe 15 utumie free.fuata hayo maelezo ila hakikisha kuwa computer huizimi wala modem huichomoi. Ukichoka basi unaweza ukaichomoa ila ndo basi tenakuna uwezekano wa kutoa na kuweka laini kwenye moderm bila ya kuichomoa kwenye pc?. Nijuzeni wandugu.
umetumwa kufanya promo? Hiyo ipo wazi kwani hutoa bonus kwa kila salio uliloongeza na bonus hiyo hutumika muda ulioutaja.
Hongera kwa kufanya promo
Mkuu siamini kama wewe umeandika post hiihakuna cha uexpert hata kimoja. ni kutupotezea muda tu. hamna hole wala niini
Pole mkuu unajua hapa JF kuana pumba na mchele, yaani kwenye msafara wa mamba na kenge pia wamoendelea kutupa maujanja mkuu, hii ndio teknolojia yenyeweasanteni sana..badala ya kuelimisha,nimekumbana na vijembe vingi hivyo nimeamua niifute hii thread!!!!!!!
Umefuata nini huku, huku hatuna longo longo bana ni kupeana maujanja
Darasa lako ni la kutufundisha wizi?
Unataka kufundisha watu kuwa wezi?. Ulaaniwe kwa wizi wako?.
Hebu muangalieni naye huyu alivyo kigeu geuKuna uwezekano wa kutoa na kuweka laini kwenye moderm bila ya kuichomoa kwenye PC?. Nijuzeni wandugu.
Mkuu u said it allinstead of thanking for inf sharing watu wanalalamika..cha msingi kama unahitaji service ijaribu! kama hujaipenda unaipotezea!!
Na wewe unataka kuiba?