Maelezo ya Wenje yamenyooka zaidi kuliko tuhuma za Lissu! Huenda Mbowe bado ni mtu sahihi zaidi kuongoza CHADEMA

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
49,320
71,980
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
 
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Machawa kazini
 
Mbowe is the right person in the wrong time .


Mbowe ni amefika kiwango chake cha mwisho he has nothing to offer

Akiendelea ataharibu .
Hata mimi nilikuwa nafikiria hivyo ila baada ya kumsikiliza Wenje nimerudi nyuma na kuona Mbowe ana uwezo mkubwa zaidi wa kuiunganisha CHADEMA kuliko Lissu.
 
Mtu sahihi kwa wakati usio sahihi, maana yake hakuna mtu hapo. Au siyo? Mbona umeandika kifalsafa na kiusanifu sana, mkuu?

Yes Mbowe ukimchambua anaonekana ni MTU sahihi Ila wakati aliopo ndo sio sahihi.

Lissu anatembea na Wave (Wimbi) la watu wanaotaka kuona mabadiliko ya kweli na siasa za ushindani. Hivyo hawataki kumchambua na kuangalia weakness areas zake.

Hii ndo Kama ile 2015 - kuna watu wengi walipata ubunge na udiwani kupitia Wimbi la mabadiliko Ila katika uwezo walikuwa hawana uwezo wowote .

Means unaweza kuwa MTU sahihi Ila ukawa haupo katika wakati sahihi.

Mbowe inambidi aachie ngazi hii itamjengea Heshima sana. Asibishane na wakati
 
Mbowe ni mfanyabiashara kwenye siasa kuna maslahi yake, Mbowe akiamua kuwa serious na siasa na dhamira ya kweli binafsi naamini anaweza kuwa Rais wa nchi.

Mbowe ni genius lakini bahati ndio hiyo hayuko serious kivilee kama tunavyofikiria.

Tundu jana sifa za kuwa kiongozi, kitaaluma hasa kwenye field yake ya Sheria anawezakuwa anajua sana lakini huku kwingine analazimisha tu, uwezo wake ni mdogo sana.

Narudia tena Mbowe hayuko siasa ni biashara kwake na anajua anachokifanya, kichwani ni genius na anajua mambo mengi sana (ana exposure kubwa na he is well informed na mambo ya nchi hii) ukimfananisha na Lissu.

Binafsi ukiniambia nipange kumi Bora za watu wanaofaa kuwa maRais wa nchi hii basi Mbowe nitamuweka ila sio Lissu.
 
Unataka kutufanya tuelewe wewe ulivyoelewa hayo maelezo ya Wenje?

Weka basi hayo matamshi yake nasi tusikie/tusome na kupima kama ulivyoyaelewa ndivyo inavyopaswa kueleweka...

Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
 
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Kumtumia mtoto wa rais kwenye jambo lililopo kisheria ni hongo. Abdul alikwenda kuhonga ndo maana akakubali ata kwenda nyumbani wa lissu, Angekuwa ni kumsaidia tu angesema ukipona niletee au angetuma kijana dreva wake kwenda kuchukua hizo documents.
 
Yes Mbowe ukimchambua anaonekana ni MTU sahihi Ila wakati aliopo ndo sio sahihi.

Lissu anatembea na Wave (Wimbi) la watu wanaotaka kuona mabadiliko ya kweli na siasa za ushindani. Hivyo hawataki kumchambua na kuangalia weakness areas zake.

Hii ndo Kama ile 2015 - kuna watu wengi walipata ubunge na udiwani kupitia Wimbi la mabadiliko Ila katika uwezo walikuwa hawana uwezo wowote .

Means unaweza kuwa MTU sahihi Ila ukawa haupo katika wakati sahihi.

Mbowe inambidi aachie ngazi hii itamjengea Heshima sana. Asibishane na wakati
Uko sahihi lakini kama maelezo anayosema Wenje kumuhusu Lissu katika sakata la Abdul ndivyo yalivyo kweli Lissu ataigawa vibaya sana CHADEMA.
 
Nimesikiliza maelezo ya Ezekiel Wenje aliyetuhumiwa na Lissu kumpeleka Abdul kumuhonga pesa, ukiniuliza mimi naona maelezo ya Wenje yamenyooka sana kuliko tuhuma alizokuwa anarusha Lissu dhidi ya watu anaodai wamehongwa.

Swali ambalo limebaki sasa ni kwamba Lissu anafanya mambo haya kwa sababu au faida zipi ukizingatia inaleta mgawanyiko sana ndani ya chama chake!

Nilikuwa nasubiria kwa shauku kumsikia Mbowe atajibu vipi tuhuma za watu wake kuhongwa pesa za Abdul lakini maelezo ya Wenje yamenyooka sana, yanatosha na naona yana ukweli mkubwa kuliko tuhuma za Lissu.
Yamenyoka lkn huyaweki hapa Ili na sisi tuyasikie. Lakini pia wewe ushachagua upande tangu muda mrefu kabla hata hujasikiliza hizo tuhuma.
 
Back
Top Bottom