Maelezo ya Waziri Faustine Ndugulile kuhusu WhatsApp calls yanaturudisha nyuma

Kiongozi unapoteuliwa au kuchaguliwa tambua una wajibu wa kuwarahisishia maisha wananchi wako kama ww unakuwa chanzo cha ugumu wa maisha basi jitathmini kama unafaa kwa wathifa huo, tumezuiwa ku like na kucoment kwenye taarifa mbali mbali hata tukiziona mtandaoni hii haijapata kutokea mahara popote dunian, bei za vifirush zinapandishwa mara tunaskia gharama za whasap tena nazani ww unapingana na teknologia sijui unataka uturudishe zama zipi sasa
 
Eti "sheria inasema makampuni ya simu lazima yawepo kwenye soko la hisa, ni jukumu letu kuendelea kuwakumbusha wale ambao hawamo wakajiandikishe."

Basi wauza unga wakikamatwa waendelee kukumbushwa sheria!
 
Nimeshawahi kusema huko nyuma na ninarudia tena hapa alichoniambia mwalimu wangu wa sekondari "kusoma hadi chuo kikuu sio kuelimika"
 
Ni sawa na mtu agundue gari linalotumia maji badala ya mafuta hakafu usema makampuni ya mafuta yanapata hasara, so what? Wanadilike na sio kuzuia au kurestrict technology
 
Huu ni upuuzi sawa na kuongeza gharama za sms ili watu warudie kutuma barua post..
Huwezi shindana na teknolojia bali kuendana nayo.
Tutakua wajinga sana kama tutakua tunapiga hatua kurudi ujinga
 
Wanachojua wao ni kudhibiti-dhibiti yaani kudhibiti-dhibiti tu kudhibitiiiii hivi wanamkomoa Nani na hii nchi wanaipeleka wapi kwa hizo Sheria zao mbovu mbovu
Ni vichaa waliopewa rungu wanaenda resi hawajui wanafanya Nini hiyo haiwezi kusaidia watu watatumia mitandao mingine inayorusu calling nadhani siyo WhatsApp peke yake yenye hiyo feature
Nia yao kukomoa wanancho tuu wasipate hata pa kupumulia
 
Back
Top Bottom