BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
Acha uzushi weye!!! Eti kuna juhudi kubwa za kimataifa za kuvuruga uhuru na amani nchini!!!! Hivi hamuonagi aibu kuja humu na kuandika ujinga wenu na kudhani watu watawaamini na upumbavu wenu uliotukuka?
Anayeharibu uhuru na amani ya Watanzania na mtu hatari sana ni huyo waliyemsukumizia Ikulu pamoja na kujua fika hana uwezo wa kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi mtaani.
Acha na na hizi dhana zako potofu zisizo na kichwa wala miguu au zibebe uende nazo kule kwa majuha wenzio ambao wanaamini kila ujinga unaoendelea nchi hii.
Yote uliyoyaandika ni upuuzi MTUPU kesho kaendeleze ujuha wako kule Lumumba watakuelewa sana.
Anayeharibu uhuru na amani ya Watanzania na mtu hatari sana ni huyo waliyemsukumizia Ikulu pamoja na kujua fika hana uwezo wa kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi mtaani.
Acha na na hizi dhana zako potofu zisizo na kichwa wala miguu au zibebe uende nazo kule kwa majuha wenzio ambao wanaamini kila ujinga unaoendelea nchi hii.
Yote uliyoyaandika ni upuuzi MTUPU kesho kaendeleze ujuha wako kule Lumumba watakuelewa sana.
Ndugu wanajamvi! Kwa muda mrefu nimekuwa naitetea serikali bila kulipwa chochote wala sina mpango was kulipwa.
Kwasababu zifuatazo nimekuwa mstali WA mbele kuitetea nchi hii:
1. Kunajuhudi kubwa za kimataifa za kuvuruga Uhuru na amani ya nchi hii. Nina hakika kuna watu wanalipwa kuvuluga nchi kwa manufaa ya nchi zao.
Sio jambo la kufichaficha nadhani kila MTU anajua tuna rasirimali nyingi sana. Kama ilivyo Siria,Libya, misri,Naijeria,Congo na kadharika. Huko mpaka Leo hapakaliki wamechonganishwa mpaka wamechapana. Nikiona Tanzania naona kuna kidudu MTU kivuluge.
2.Vita kubwa duniani Leo ni soko la bidhaa ili kuongeza ajira za nchi zilizo endelea. Soko kubwa pekee dunian ni Africa. Kwahiyo wazungu wanafanya kila njia tuvuluge amani yetu ili tusijenge viwanda tubakie ombaomba na tuwekewe vikwazo vya kiuchumi tubakie solo LA bidhaa zao.
3.Vingozi dhaifu wa CHADEMA. Sifa moja ya kiongozi dhaifu ni lawama. Kukosa uwezo wa kuwasiliana kujenga hoja zenye mvuto na kuleta fumbuzi chanya. Maandano ni kukubali kushindwa. Na nchi yetu haiwezi kuendeshwa na walalamikaji wasioweza kusimamia hoja za kuleta maendeleo.
Naendelea kesho. .... ....