Ninamuwazie yule yatima aliyeachwa na mamake 🥲🥲Mtu anachinjwa kama Mbuzi , halafu inategemea usikamatwe , Plan za mauaji za kishamba kabisa hizo , Yaani na simu walimnunulia Binti wa Kazi Ina maana walikuwa hawajui kuwa Wana acha alama ya ushahidi endapo wakifuatiliwa mitandaoni, Mijinga kabisaaa roho mbaya na choyo ime waponza wanastahiki kunyongwa na wao
Heee unikumbatie tena!Pole sana njoo nikukumbatie ujiskie vizuri..... Njoo
Kwamba marehemu bilionea na marehemu Aneth walikuwa wanatoka kimapenzi?Ila iliwahi zungumzwa kuwa wivu wa mapenzi ulichangia pia!
Mtu na Kaka yake... ...
.
Ila iliwahi zungumzwa kuwa wivu wa mapenzi ulichangia pia!
Mtu na Kaka yake... ...
.