I think Zitto hana haja ya kusema yote haya! Apige kimya tu! Always ukweli huwa unajitenga at the end of the day!
Nashindwa kuelewa ni kwanini ameshindwa kabisa, kabisa kuwa 'calm'.
Ukimya pia unatafsiriwa katika namna nyingi. Atuliaje katika mazingira kama hayo? Nakumbuka Sumaye alipigwa madongo mengi sana lkn akaamua kukaa kimya na umma ukajua yanayosemwa yote ndivyo yalivyo, alikuja kung'amua wakati kishachelewa.
Anna wajibu wa kusema kile anachoamini ni kweli, ikichanganywa na story za upande wa pili umma utang'amua nini kweli nini uongo lkn kukaa kimya si dawa.