"Haya ni mazao ya chama Tawala CCM kufanyia utani mambo yanayohitaji umakini, tunaelekea pabaya"source. radio tbc at 4PM Kwa kile kinachoonekana kama chuki dhidi ya watanganyika vijana wa kizanzibari wamechoa maduka huko unguja ya wafanyabiashara wenye asili ya bara na kusababisha hasara ya zaidi ya milioni 400. hawa wameuchoka muungano. hivi nasisi tukiamua kwenda hapo kariakoo itakuwaje?
Hawa ni wahalifu tu na wala si wana harakati wa siasa. Hili ni kosa la jinai na wakikamatwa wafikishwe mahakamani. Kama ni kuuchoka muungano wajikusanye wapeleke malalamishi yao kwa viongozi wao kwanza, pili wampelekee risala rais wa jamhuri ya muungano. Hakuna cha muungano wa kulazimishwa hapa.
Mh! Wanatupeleka kubaya hawa. hakuna haja ya kulipa kisasi, utoto unawasumbua, wakikua wataacha. Hata kama hawautaki Muungano sidhani kama hii ndio njiia muafaka yab kueleza hisia zao
Leo katika Taarifa ya habari ITV kumeonyeshwa habari ya kusikitisha ambapo Wazanzibar wamechoma maduka ya Wabara wanaofanya biashara visiwani humo. Cha kusikitisha zaidi imeelezwa kuwa wachomaji hao waliwatisha hao wabara kwa siku kadhaa kabla ya kutimiza azma yao bila polisi kuchukua hatua yeyote!!
Je, serikali ya akina Seif and Shein iliridhia kadhia hiyo maana hakuna cha zima moto wala polisi haikujishughulisha kuzuia tukio hilo!!!!
ishu siyo muungano wala watanganyika. Ishu ni kwamba kila binadamu anapo kuwa na matatizo lazima watafute scape goat. Zanzibar umasikini mwingini na wananchi hawajui nani wa kumlaumu. Sasa frustrations zao wana zitoa kwa watanganyika. Ni kama wasouth afrika wanao ua wageni kisa hawana kazi wakati wanajua fika chanzo cha umasikini wao sio hao wageni. Zanzibaris are frustrated people.
Nafikiri watanganyika hawautaki muungano kabisa, viongozi ndo wanang'ang'ania kwa maslahi yao binafsi
Maisha yamewashinda hawana lolote hao, idadi ya wapemba na wa Unguja ni kubwa zaidi ya wabara walioko huko so watakula hasara zaidi wakijifanya hawautaki muungano
Bara tunapewa umeme kwa mgao, wao wanapewa full, halafu faida ni hii?
Mfano ni RAISI;hatakuwa raisi wa nchi yoyopte hapa duniani.Ndiyo maana viongozi wanaung'ang'ania,eti kwa sababu za kiusalama
Hafanywi mtu kitu Zanzibar, hivi kumbe hamuijui kweli, akamatwe mzanzibari kwa sababu kafanya chochote kwa mtu wa bara? hata siku moja msijidanganye, tena huyo wa bara akienda ripoti atachekwa na Polisi hao hao wa Muungano.
Kuna mwanafunzi toka bara aliwahi kubakwa na kuchanwa pande zote na wazanzibari wawili kisha wakamtupa, hata hospitali hajapelekwa ilibidi atoke bara baba yake na kuja kumchukua, wote walimcheka tu, huu wa maduka ni moja ya mifano ya unyanyasaji wa wabara wachache Zanzibar, huku wao wakiwa na kila uhuru, sasa dawa ya moto?
Nipo gym, ngoja waguse anga zangu hao wala ukwaju; vita ni vita muraa! Kama serikali haipo ama ipo likizo,basi wananchi tutakuwepo kwa niaba yao!
Hawa ni wauza mbao na maduka huku bara,waanze kufunga virago tartibu.
Hali sasa sio salama kwa mbara kuwa znz kwa sasa, take care wabara!