MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,925
- 8,910
Sasa hivi hii sera ya misamaha ni kama imekufa ila kwasababu za kisiasa wanaogopa kuweka wazi kama ilivyotokea kwenye umeme wa Tshn27,000.Sio rahisi kama unavo fikiri, huwezi endesha hospitali kwa cost sharing kwa sababu sera ya misamaa ina sababisha nusu ya mapato ya hospitali kua misamaa tu. Cha msingi ni kuhakikisha kila mtu ana kua na bima. Nchi yetu bado sana hatuna uwezo wa kutoa matibabu bure hata kwa hayo makundi maalamu
Sera inataka wazee, watoto underfives na wajawazito kutibiwa bure ila ukiangalia sasa hivi ni kama serikali inapush hawa watu wote wakate Bima angalau hata za CHF.
Na sasa hivi vituoni ukifika, wanakusoma kwanza, hata kama ni Mzee au umepeleka Mtoto underfive wanaweza kukukazia na ukalipa vile vile.