Maduka ya Dawa yaliyo nje ya mageti ya Hospitali za Serikali huwa na dawa muda wote lakini ndani ya Hospitali husika hamna dawa

Hapo umeongelea Point sasa! Mjadala unafungwa
Sure mkuu yaani nchi yetu ina mifumo mibovu kiasi kwamba hata aje nani kuliongoza taifa hili ataliacha kama alivyo likuta.
Kuwaongoza WTz ina hitaji uwe na moyo mpana sana na uvumilivu wa hali ya juu sana ,tofauti na hapo unaweza kuwauwa wote kwa hasira.
Mfano JK ni mtu mwenye moyo wa kipekee sana kutokana na uvumilivu wake dhidi ya Wtz.

Lakini JPM ambaye hana
huruka ya uvumilivu alijikuta ana kuwa katili kutokana na aina ya watu anao waongoza ,alirazimika kuwa katiri ili kuwajengea hofu watumishi wa uma ili wawajibike lakini haikusaidia maana walikuwa wameshaaza kumzoea na kutoogopa vitisho vyake.

Mfano unakuta mkuu wa wilaya anapokea mshahara lakini majuku anayo takiwa kuyatimiza eti anasubili rais ndo aje kuya shughulikia.

Mfano mdogo ni hili la madawa hili si jukumu la rais kuanza kufatilia eti kwann hakuna madawa hospital, na ndio maana kuna watumishi wa idara ya afya kuanzia ngazi ya taifa mpaka kijiji hawa ndio wana takiwa kufatilia na kudhibiti wizi wa dawa za serikali lakini hawafanyi hivyo na kila mwisho wa mwezi wanaenda kuvuta mshahara hapo utamlaumu rais kwa lipi?
Nchi hii ina matatizo uki yaangalia juu juu unaweza kuona ni ya kawaida lakini ni janga.
 
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Kule kilimanjaro kuna mfano hiyo mingi kama hii . Kibo phamacy na kilimami phamacy nilizionaga zipo nje ya geti la mawenzi hospital. Ila watanzania wanapigwa

14DB5CA0-1F23-47A9-BF86-38EFC75E0A44.jpeg
 
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Duuh Tz sihami!
 
Sure mkuu yaani nchi yetu ina mifumo mibovu kiasi kwamba hata aje nani kuliongoza taifa hili ataliacha kama alivyo likuta.
Kuwaongoza WTz ina hitaji uwe na moyo mpana sana na uvumilivu wa hali ya juu sana ,tofauti na hapo unaweza kuwauwa wote kwa hasira.
Mfano JK ni mtu mwenye moyo wa kipekee sana kutokana na uvumilivu wake dhidi ya Wtz.

Lakini JPM ambaye hana
huruka ya uvumilivu alijikuta ana kuwa katili kutokana na aina ya watu anao waongoza ,alirazimika kuwa katiri ili kuwajengea hofu watumishi wa uma ili wawajibike lakini haikusaidia maana walikuwa wameshaaza kumzoea na kutoogopa vitisho vyake.

Mfano unakuta mkuu wa wilaya anapokea mshahara lakini majuku anayo takiwa kuyatimiza eti anasubili rais ndo aje kuya shughulikia.

Mfano mdogo ni hili la madawa hili si jukumu la rais kuanza kufatilia eti kwann hakuna madawa hospital, na ndio maana kuna watumishi wa idara ya afya kuanzia ngazi ya taifa mpaka kijiji hawa ndio wana takiwa kufatilia na kudhibiti wizi wa dawa za serikali lakini hawafanyi hivyo na kila mwisho wa mwezi wanaenda kuvuta mshahara hapo utamlaumu rais kwa lipi?
Nchi hii ina matatizo uki yaangalia juu juu unaweza kuona ni ya kawaida lakini ni janga.
Na kila siku wanaamka makwao wanaenda kazini😅
 
Maduka ya dawa ya serikali huwa na "Dawa muhimu..ESSENTIAL MEDICINES"... urasimu huchangia kupatikana kwa changamoto hizo.

Maduka ya dawa ya watu binafsi huwa na Dawa muhimu pamoja na dawa maalum"SPECIAL MEDICINE"hakuna urasimu hapa.
 
Kwa kifupi MSD iko hoi bin taaban, pia taratibu za manunuzi nje ya MSD michakato yake inachukua muda mrefu kwa bidhaa nyeti kama dawa ni hatari. Mengine hayafai kuandika hapa.
Naona tatizo mtoa mada haelewi taratibu za manunuzi. Kuwalaumu watu wa hospitali sikubaliani naye. Matibabu bado hayajapewa kipaumbele sana. Na wanasiasa pia wanaharibu kwa maneno yao ya uongo.
 
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Mkuu unafahamu manunuzi ya serikali na utaratibu wake? Utalinganishaje na mfanyabiashara ambaye akiona mali imeisha anatafuta nyingine na kuileta dukani? Blangeti ulilojifunika hilo jifunue kumekucha tazama jua limetokawanasiasa wanatudanganya sanakwa maneno wanayotuambia wananchi kuwa dawa zipo na vitendea kazi vipo. Kiujumla wanatudanganya hakuna wanacholeta na hata wakileta hakikidhi kwa makundi yote. Upande wa matibabu bado sana. Labda wangeacha kununua na Viet na pesa hizo wakaelekeza kwenye vifaa FIBA na mambo ya elimu pengine tungefika mbali kidogo. Wenyewe wakiumwa wanapelekwa nje ya nchi mbona hawaletwi huku tunakotibiwa Sisi? Wao ndiyo wanaofaidi mema ya nchi na kutuhimiza uzalendo sisi
 
Magufuli aliharibu akili za vijana wengi.

Hata mwenyewe alimind then akajiona lofa tu.

Unamzuia mtu kuweka duka la dawa karibu na hospital kwa sheria ipi?

Yeye akiishiwa dawa anapanda daladala anafuata Kariakoo faster ila serikali mpaka ipeleke dawa kwenye zahanati au hospital lazima mchakato uchukue zaidi ya mwezi mmoja.
Lini Magufuli alizuia maduka ya dawa karibu na hospitali?
 
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Kila zama na kitabu chake. Usilazimishe mambo ya Magufuli kwenye utawala wa mama Samia.

Magufuli ameshabakia historia. Kwa sasa wewe pambana na upepo wa Samia. Kama dawa zipo nje tafuta pesa tu, hazitakupa stress.

Ikifika 2025 kuna nafasi ya kuchagua pia.
 
Siyo kwamba huruhusiwi kuandika.

Ila ukiandika Dawa ambazo hazipo store ya hospitali maana yake mgonjwa akanunue ndio utapata lawama kama hizi.

Kwahiyo, inadhauriwa Umwandikie mgonjwa Dawa zilizopo store ili kukwepa lawama kama hizi.

Wako hili ni jema, lakini lahitaji uwajibikaji wa hali ya juu. Kwani na hii pia inaleta shida kwa wagonjwa. Una-restrict wakati huwezi kufanya constant supply au pale kunapokuwa na uchelewaji wa dawa. Hii tunashuhudia watu wanaenda kuwaona cardiologist au physician then dawa njoo jumatatu wiki ijayo, huyu ni diabetic au Hypertensive, amemaliza dawa na hii ndo hospitali kubwa kabisa na iko Dar-es-salaam.

Je huko Masasi au Newala husuma zinakuwaje?

Anakuja jumatatu, unaambiwa dawa hazijafika. Mtu hawezi jaziwa fomu ya dawa nje. Kinachofata ni kwenda kujiandikisha upya kwenye private hospital ili kuchukua dawa zilezile.
Hapa nani anapoteza??
Mgonjwa, daktari, hospitali au serikali?

NB: Hapa ndipo hata NHIF wanapata kizunguzungu, unasema hii dawa ni level S, lakini hiyo dawa haipatikani kwa uhakika kwenye level S ila iko kwenye institution ua level D private. Ukizuia wasitoe hao wa level D kelele zinaanza, hatupatiwi dawa.

Maisha magumu sana.
 
Kilimani Pharmacy pale Mawenzi Hospital Moshi. Nilizungushwa sana wakati nauguza. Kila kitu kuanzia mionzi hadi dawa nililazimika kwenda pale sababu hapo hospital wameshatengeneza network ya kupiga pesa.

Utasubirishwa pasipo sababu ya msingi huku ukiambiwa kama unaweza nenda kapige hapo kilimani uje doctor akupe huduma. Dawa zote unazoandikiwa hazipo, ila utaambiwa nenda hapo kilimani wanazo
Ha ha ha watanzania ni waongo khaa
 
Hivi huwa tatizo ni nini kwenye ishu ya dawa? Kwamba serikali haina pesa ama ni vile sio kipaumbele?

Maana serikali inaweza agiza Land Cruiser hata 700 za 150M mpaka 200M!

Hivi kwa billion 100 ni dawa kiasi gani zinaweza nunuliwa?

Yani mie nikipewa hii nchi naweza nikaiendesha kwa namna ya tofauti sana! Its high time matatizo madogo madogo yanatakiwa yaishe haya.
Sio rahisi kama unavo fikiri, huwezi endesha hospitali kwa cost sharing kwa sababu sera ya misamaa ina sababisha nusu ya mapato ya hospitali kua misamaa tu. Cha msingi ni kuhakikisha kila mtu ana kua na bima. Nchi yetu bado sana hatuna uwezo wa kutoa matibabu bure hata kwa hayo makundi maalamu
 
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Sasa hivi haya MADUKA YAPO
KILA HOSPITALI BILA AIBU BILA ,UOGA
 
Sio rahisi kama unavo fikiri, huwezi endesha hospitali kwa cost sharing kwa sababu sera ya misamaa ina sababisha nusu ya mapato ya hospitali kua misamaa tu. Cha msingi ni kuhakikisha kila mtu ana kua na bima. Nchi yetu bado sana hatuna uwezo wa kutoa matibabu bure hata kwa hayo makundi maalamu
Wewe MACCM LAZIMA UAKUBALI KUANDIKA KATIBA HIYO BIMA HAWEZI KUKUBALI YATAZILA HERA ZOTE
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom