johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,430
Hii ya " kwa mangi" ilikuja baadae zamani tuliita " pale kwa mchagga".
Maduka mengine masrufu ukiondoa yale ya Ushirika ilikuwa " Kwa mpemba" au " kwa msambaa" na " kwa Muha"
Hawa hawa siku hizi ndio maarufu kwenye vyama vya siasa, angalia Chadema, Cuf, ACT wazalendo, Nccr mageuzi, TLP, Sau, Chaumma na kadhalika na kadhalika.
Wale wa maduka ya Ushirika ndio sawa na hawa CCM.
Sijaelewa sawasawa hii connection ya maduka na vyama vya siasa, ngoja nichimbue historia zaidi.
Mungu ni mwema wakati wote!
Maduka mengine masrufu ukiondoa yale ya Ushirika ilikuwa " Kwa mpemba" au " kwa msambaa" na " kwa Muha"
Hawa hawa siku hizi ndio maarufu kwenye vyama vya siasa, angalia Chadema, Cuf, ACT wazalendo, Nccr mageuzi, TLP, Sau, Chaumma na kadhalika na kadhalika.
Wale wa maduka ya Ushirika ndio sawa na hawa CCM.
Sijaelewa sawasawa hii connection ya maduka na vyama vya siasa, ngoja nichimbue historia zaidi.
Mungu ni mwema wakati wote!