BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Au kila mwenye pesa ni mpiga dili na mchawiKuona kila mfanyabiashara ni mwizi matokeo yake tutayaona kwenye uchumi wa nchi.
Too much of everything is harmful.
Au kila mwenye pesa ni mpiga dili na mchawiKuona kila mfanyabiashara ni mwizi matokeo yake tutayaona kwenye uchumi wa nchi.
Too much of everything is harmful.
Mmekuja kwa kukimbia utadhani hii inamhusu ontario na tmt yake! hadi jasho linawachuruzika! jelousy mbaya sana!
Ungeweza kutoa maoni yako bila kutumia lugha ya maudhi, jifunze kuwa na adabu kwa wanaume wewe mamaHuelewi umuhimu wa hayo maduka ya Forex
Kwa mfano Arusha,Sanya bureau de change inafungua hadi saa moja usiku,halikadhalika Jumapili,je hayo mabenki unayosema yapo wazi hadi saa moja usiku,na Jumapili wanafungua?
Akili zako ni sawa na wanaodhani huu ni muda wa kuwa na chama kimoja cha siasa.
Tumia vizuri akili yako kufikiri sawasawa,sio kujenga chuki kwa kuwa wewe huna pesa ya kwenda bureau de change!!
Wewe umetoa lugha ya ustaarabu?Ungeweza kutoa maoni yako bila kutumia lugha ya maudhi, jifunze kuwa na adabu kwa wanaume wewe mama
Koma kunizoea wewe mama mimi nina mke na huwa sipendi mashogaWewe umetoa lugha ya ustaarabu?
Mimi ni mama yako?
Nipe dada yako,nikuoneshe kazi.!
Mabank ya biashara yana rate zisizo na huruma kwa mteja aiseeYafutwe maduka yote kazi hiyo ibaki kwenye mabenki ya biashara tu
Sawa mm shoga,nipe dada yako au mkeo nimuonjeshe dozi!Koma kunizoea wewe mama mimi nina mke na huwa sipendi mashoga
Basi zingatieni utawala wa sheria, wapelekeni mahakamaniUhakika tunao.
Tutajua zaidi agizo la kupiga marufuku matumizi ya pesa za kigeni kwa biashara za ndani ya nchi yetu likitiliwa mkazo. Walioficha hizo pesa majumbani waanze kuzisalimisha benki na wakitaka kuzitoa walazimishwe kutoa kwa thamani ya shilingi yetu na siyo watoe pesa za kigeni taslimu. Hapo shilingi yetu itapata nguvu na mzunguko wa pesa utaongezeka.Sijajua bado effect yake kwa uchumi!! Labda tuupe muda tuone!! Kila goti litapigwa!!
Tutajua zaidi agizo la kupiga marufuku matumizi ya pesa za kigeni kwa biashara za ndani ya nchi yetu likitiliwa mkazo. Walioficha hizo pesa majumbani waanze kuzisalimisha benki na wakitaka kuzitoa walazimishwe kutoa kwa thamani ya shilingi yetu na siyo watoe pesa za kigeni taslimu. Hapo shilingi yetu itapata nguvu na mzunguko wa pesa utaongezeka.
Nani atakujua? Ni ngumu sana maskini kujulikana.Laiti ungenijua,wala usingetoa hayo maneno.Hata hivyo nilichoongea ndio ukweli hakitabadilika.
Mimi sio maskini,mbona nina akili timamu na viungo vyangu vyote?Kweli inaelekea kuwa wewe ni muuza ngada,maana umeshindwa hata kujua maana ya maskini .Nani atakujua? Ni ngumu sana maskini kujulikana.
Shilingi yako itapanda thamani kama uchumi wako utaimarika. Period, hamna short cut wala uchawi hapo.Tutajua zaidi agizo la kupiga marufuku matumizi ya pesa za kigeni kwa biashara za ndani ya nchi yetu likitiliwa mkazo. Walioficha hizo pesa majumbani waanze kuzisalimisha benki na wakitaka kuzitoa walazimishwe kutoa kwa thamani ya shilingi yetu na siyo watoe pesa za kigeni taslimu. Hapo shilingi yetu itapata nguvu na mzunguko wa pesa utaongezeka.
Ndugu hujabarikiwa chochote. Baraka ya kwanza huwa ni kuwa na akili. Jiendeleze maana hata tofauti tu ya maskinibna mlemavu hufahamu.Mimi sio maskini,mbona nina akili timamu na viungo vyangu vyote?Kweli inaelekea kuwa wewe ni muuza ngada,maana hata uwezo wa kujua maana ya maskini huna.
Kumbuka pia kwamba muuza ngada yeyote IQ yake ni ndogo sana,kwa kuwa kuuza ngada ni hatua ya mwisho ya kuokoa maisha yaliyo shindikana.Mtu mwenye akili hawezi kushindwa maisha mpaka afikie hatua ya kuuza ngada!Furthermore,an intelligent person can never take pride in material wealth which comes from the Devil, because he or she knows that is chasing the wind.Wewe usiyejua hili kwa kuwa IQ yako ni ndogo,ndiye unaye take pride in such wealth,which is chasing the wind.
Hata hivyo namshukuru Mungu kwa kuwa amenibariki sana bila kuuza ngada.
Mlemavu ni mtu aliyezaliwa na viungo vyenye kasoro mkuu. Kwa upande mwingine umaskini unajumuisha vyote,ile hali ya kuwa na viungo vyenye kasoro na pia hali ya kuwa na viungo vilivyopata kasoro kwa ajali nk.Ndugu hujabarikiwa chochote. Baraka ya kwanza huwa ni kuwa na akili. Jiendeleze maana hata tofauti tu ya maskinibna mlemavu hufahamu.
Mtu yeyote mwenye akili timamu na ana hekima huwa hawezi kumhukumu mtu bila uthibitisho.
Heeey heyyyyy nataka Mara moja haya majibishano yaishe. Sawaaa???Koma kunizoea wewe mama mimi nina mke na huwa sipendi mashoga