kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Wabunge mliomo humu, tafadhali lifanyieni kazi jambo hili ili JF iwe chachu ya kukomesha ulafi wa namna hii
ni mlafi mpaka anaizinisha mke wa mjumbe wa bodi naye alipwe posho huku alitetea kupewa posho hiyo.Je ni wake wangapi na madereva wangapi wanpewa posho za vikao vya bodi?pia ni bodi ambayo imegubikwa na matatizo kibao.Ukimuona wakati wa kuchangia michango bungeni, wakati akitetea ccm utafikiri ni wa maana .kumbe bure kabisa