Kwanza kabisa nalipongeza sana Bunge letu tukufu kwa kufichua maovu ya mama Anna Abdallah mlafi aliyepitiliza. Mmama huyu tangu aingie kwenye bodi ya korosho, sifa kuu aliyonayo ni kula zaidi kuliko hata Kitwana Kondo.
Ana urafiki wa ajabu sana na huyu Bwana Mudhihiri uliopelekea Anna Abdallah kulipwa posho inayotushangaza hata sisi wafanyikazi .
Ulaji huu umeanza mara baada tu ya serikali kuruhusu (CEL) yaani fedha za mapato ziingie kwenye bodi. Pesa hizi ni Billion 2 ambazo wanazila kwa kuwa na vikao vingi mno kupita kiasi. Hapa mchezo uliopo ni kwamba kila tani 1 ya korosho inayosafirishwa nje, 2% ya mapato hayo ndiyo huletwa kwenye bodi.
Tangu aliyekuwa meneja wa cashew-nut Authority of Tanzania Mr. Mhagama afariki mama huyu Anna Abdallah sasa ana nguvu kama mtendaji.
Ewe Rasi wetu mpendwa J.K Kikwete, chonde chonde, nusuru zao hili na fedha hizi za umma kwa kumteua rasmi mkurugenzi mpya na ikiwezekana huyu mama arudi Nanyumbu akafanye kampeni za UWT maana anakula kupita kiasi, yaani bila hata kunawa!!
Kuona kupapasa.
Ana urafiki wa ajabu sana na huyu Bwana Mudhihiri uliopelekea Anna Abdallah kulipwa posho inayotushangaza hata sisi wafanyikazi .
Ulaji huu umeanza mara baada tu ya serikali kuruhusu (CEL) yaani fedha za mapato ziingie kwenye bodi. Pesa hizi ni Billion 2 ambazo wanazila kwa kuwa na vikao vingi mno kupita kiasi. Hapa mchezo uliopo ni kwamba kila tani 1 ya korosho inayosafirishwa nje, 2% ya mapato hayo ndiyo huletwa kwenye bodi.
Tangu aliyekuwa meneja wa cashew-nut Authority of Tanzania Mr. Mhagama afariki mama huyu Anna Abdallah sasa ana nguvu kama mtendaji.
Ewe Rasi wetu mpendwa J.K Kikwete, chonde chonde, nusuru zao hili na fedha hizi za umma kwa kumteua rasmi mkurugenzi mpya na ikiwezekana huyu mama arudi Nanyumbu akafanye kampeni za UWT maana anakula kupita kiasi, yaani bila hata kunawa!!
Kuona kupapasa.