mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,081
jimbo la Ubungo serikali ilitoa hela wananchi wachimbiwe kisima cha maji, kwa vile Mkiti wa mtaa ni chadema kajichimbia nyumbani kwake na kujiunganishia yeye tu! then anawauzia wananchi, na mradi kauita eti maji ya chadema, Hawa watu ni shida
nawauliza great thinkers je nimtaje huyo mheshimiwa?
update1:
mtaa maduka matatu - Bonyokwa also Golani.
update1:
mwenyekiti wa mtaa ni maarufu anajulikana kama baba faraji.
update3;
hilo eneo napo ni maarufu linajulikana kama kijiwe cha chadema.
serikali ilitoa millioni 60 huo mradi Pamoja na usambazaji wa mabomba maeneo jirani.
baba faraji kanunua tank mbili na kuchimba kisima kwake na hela anakusanya anakula yeye
nawauliza great thinkers je nimtaje huyo mheshimiwa?
update1:
mtaa maduka matatu - Bonyokwa also Golani.
update1:
mwenyekiti wa mtaa ni maarufu anajulikana kama baba faraji.
update3;
hilo eneo napo ni maarufu linajulikana kama kijiwe cha chadema.
serikali ilitoa millioni 60 huo mradi Pamoja na usambazaji wa mabomba maeneo jirani.
baba faraji kanunua tank mbili na kuchimba kisima kwake na hela anakusanya anakula yeye