Madonna second adoption in Malawi!

...SteveD, unalifikiriaje suala hili?

Mbu,

Kama mtoto ana wazazi walio hai na anafamilia iliyopo karibu naye, mtoto huyo haitaji kuchukuliwa na kupelekwa kwingine kulelewa. Gharama ambazo angetumia kwa ajili ya mtoto mmoja akiwa huko ng'ambo na kukaa naye kama mtoto wake wa kumzaa, naamini ni kubwa sana. Angeweza kabisa kuendeleza kundi jingine la watoto wengine wengi kwa gharama hizo, maana maisha ya ma-celebrity na watoto wao huko ng'ambo tunayasikia yallivyo aghali.

Kama huyo mtoto angelikuwa ametelekezwa au kuwa amekuwa yatima, kwa maoni yangu mimi ningemsupport Madonna kwa 75% na iliyobakia ningeiweka kwenye support ya maelezo hapo juu, yaani ku-support kundi kubwa huko Malawi. Nimesoma kuwa Madonna tayari ana support ma/kundi la watoto wanaolelewa kwenye vituo. Hata hivyo naamini bado anaweza akajitolea zaidi na kuendeleza vituo vingine kwa gharama ya mtoto mmoja ambaye angeenda naye kumlea.

Support yangu kwa 75% ya kumchukua mtoto kama ametelekezwa jumlajumla au amekuwa yatima, ni kutokana na imani yangu kuwa, mazingira kama haya yakimkumba mtoto wa miaka michache na akawa hana huduma zinazohitajika pahala alipo, basi haki (mahitaji) ya mtoto huyo kuishi na kulelewa kwa neema na mtu mwingine na pahala pengine inaongezeka zaidi, maana tayari huyo mtoto atakuwa amepungukiwa na viunganishi asilia vya jamii yake kutokana na upweke alio nao.

SteveD.
 
Kuna habari kuwa mwimbaji Madonna amekataliwa na mahakama kupata mtoto mwingine wa kulea kutoka Malawi.

Habari kutoka AP news.

SteveD tuwekee hiyo habari kamili hapa. Kwani wametoa rulling gani kuhusu ombi hili?? Binafsi sijapata picha kamili kwa nini Madonna amechukua uamuzi wa kuja Africa particularly Malawi kuchukua watoto ili kuwalea. I belive her decission base on humanitarian and not other wise!!! Kwanza tuone kwanza malezi ya Banda akipata akili akiweza ku confess to the public if really Madonna is a mother (you know what I mean), then tutamruhusu achukue wengi zaidi hata tz akiweza anakaribishwa.
 
SteveD tuwekee hiyo habari kamili hapa. Kwani wametoa rulling gani kuhusu ombi hili?? Binafsi sijapata picha kamili kwa nini Madonna amechukua uamuzi wa kuja Africa particularly Malawi kuchukua watoto ili kuwalea. I belive her decission base on humanitarian and not other wise!!! Kwanza tuone kwanza malezi ya Banda akipata akili akiweza ku confess to the public if really Madonna is a mother (you know what I mean), then tutamruhusu achukue wengi zaidi hata tz akiweza anakaribishwa.


Madonna Fails in Bid to Adopt Second Malawian Child, AP Reports

By Thomas Penny


April 3 (Bloomberg) -- U.S. pop singer Madonna has failed in her attempt to adopt a second child from Malawi, AP reported, citing a judge and a lawyer familiar with the ruling.

data

Her application to adopt Mercy James, a four-year-old girl, was rejected because there is a requirement for prospective parents to live in Malawi for between 18 and 24 months, AP said.

Madonna, 50, who appeared in court to make her case, adopted another Malawian child, David Banda, two years ago amid protests from non-governmental organizations.


Source link: Madonna Fails in Bid to Adopt Second Malawian Child, AP Reports - Bloomberg.com
 
SteveD tuwekee hiyo habari kamili hapa. Kwani wametoa rulling gani kuhusu ombi hili?? Binafsi sijapata picha kamili kwa nini Madonna amechukua uamuzi wa kuja Africa particularly Malawi kuchukua watoto ili kuwalea. I belive her decission base on humanitarian and not other wise!!! Kwanza tuone kwanza malezi ya Banda akipata akili akiweza ku confess to the public if really Madonna is a mother (you know what I mean), then tutamruhusu achukue wengi zaidi hata tz akiweza anakaribishwa.

...ukishasema kwanini Africa particular in Malawi, halafu wakati huo huo unasema hata Tanzania akiweza anakaribishwa. Kwanini isiwe Malawi? kama sio Africa na Malawi, wapi kwa mtizamo wako unaona inafaa yeye kuchukua mtoto kumlea?
 
...
Support yangu kwa 75% ya kumchukua mtoto kama ametelekezwa jumlajumla au amekuwa yatima, ni kutokana na imani yangu kuwa, mazingira kama haya yakimkumba mtoto wa miaka michache na akawa hana huduma zinazohitajika pahala alipo, basi haki (mahitaji) ya mtoto huyo kuishi na kulelewa kwa neema na mtu mwingine na pahala pengine inaongezeka zaidi, maana tayari huyo mtoto atakuwa amepungukiwa na viunganishi asilia vya jamii yake kutokana na upweke alio nao.

SteveD.

...SteveD,...ndio maana all my heart goes to Madonna, David Banda na Chifundo "Mercy" James kwenye sakata hili...

Nia ya Madonna ni kumchukua Mercy James awe dada wa David,...

Kuna faida gani Mercy James kubakia kwenye orphanage malawi wakati kuna uwezekano mkubwa wa kupata elimu, exposure za maisha na mapenzi zaidi akilelewa na Madonna?
SteveD, kuna mawili matatu tulishajadili kwenye thread hii;

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/26578-who-you-why-you-poor.html ...

sitaweza kujadili kwasasa, kwani roho yangu inaniuma sana nikifikiria faida ambazo Adoption hii ingewafaidisha hao watoto wawili. Halafu, Kuna mahala nimesikia, eti kwanini White Celebrity woman amchukue black African orphan (kid) akamlee,.... Crap!...
 
1. Madonna wanamwonea tu,

She has a great heart! She is not selfish!

Madonna tayari ameshatoa millions of USD kuwasaidia watoto yatima Malawi! Na akaammua atafute dada yake David na kukaa nae!

Huu ndo upendo wa kweli!

Madonna go madame! Go madonna!

You are a great woman!

Hope you will appeal!

2. Sheria gani???? Watu wamejilimbikizia mali wakati hawa watoto hawana care yoyote na wizi wa mamilioni kila siku hufanyika! Hizi sheria kwa nini zisizuie huu wizi Malawi? Muluzi peke yake inasadikika aliiba zaidi ya dola milioni 10!

Watoto wamepata bahati yao tu..mda wote hao watoto wamekuwa ktk Orphanages..hao Mahakimu walikuwa wapi?
 
Mbu,

Kama mtoto ana wazazi walio hai na anafamilia iliyopo karibu naye, mtoto huyo haitaji kuchukuliwa na kupelekwa kwingine kulelewa. Gharama ambazo angetumia kwa ajili ya mtoto mmoja akiwa huko ng'ambo na kukaa naye kama mtoto wake wa kumzaa, naamini ni kubwa sana. Angeweza kabisa kuendeleza kundi jingine la watoto wengine wengi kwa gharama hizo, maana maisha ya ma-celebrity na watoto wao huko ng'ambo tunayasikia yallivyo aghali.
Kama huyo mtoto angelikuwa ametelekezwa au kuwa amekuwa yatima, kwa maoni yangu mimi ningemsupport Madonna kwa 75% na iliyobakia ningeiweka kwenye support ya maelezo hapo juu, yaani ku-support kundi kubwa huko Malawi. Nimesoma kuwa Madonna tayari ana support ma/kundi la watoto wanaolelewa kwenye vituo. Hata hivyo naamini bado anaweza akajitolea zaidi na kuendeleza vituo vingine kwa gharama ya mtoto mmoja ambaye angeenda naye kumlea.

Support yangu kwa 75% ya kumchukua mtoto kama ametelekezwa jumlajumla au amekuwa yatima, ni kutokana na imani yangu kuwa, mazingira kama haya yakimkumba mtoto wa miaka michache na akawa hana huduma zinazohitajika pahala alipo, basi haki (mahitaji) ya mtoto huyo kuishi na kulelewa kwa neema na mtu mwingine na pahala pengine inaongezeka zaidi, maana tayari huyo mtoto atakuwa amepungukiwa na viunganishi asilia vya jamii yake kutokana na upweke alio nao.

SteveD.


Kaka, sasa mbona unaanza kumpangia Madonna namna ya kutumia pesa yake? pesa aliitafuta yeye..kwa hiyo ana haki ya kuitumia apendavyo. Leo inwezekana ukawa unavaa kiatu cha $200..Masanja anaweza kusema kwamba..kwa nini hiyo hela usingenunua viatu vya $ 20, nyingine ukanunua koti, shati au suruali..my point is...Madonna ana haki ya kutumia pesa yake the way she thinks fit. So is you...

Harafu mimi ndo maana niko sceptic na hawa human rights activists..kama alivyo sema muungwana MBU....huyu mtoto amemiss chance ya kuwa na maisha yake mazuri. Wewe muangalie Banda sasa hivi amewiva kama muungwana Masanilo anayekaa ughaibuni ;-)....

Tuache unafiki..kitu kama hatukiwezi tuwaachie wanaoweza...sana sana tungeulizia vitu vya msingi..mfano..haki ya mtoto kuja kuwaona wazazi kila baada ya kipindi fulani..au kumruhusu mzazi kwenda kumtembelea mwanae..Ila siyo hizi kelele za kutetea archaic laws za wakoloni...

My heart goes to Madonna and Banda....hopeful some sane voices of reasons will appear somewhere in higher courts-incase akiamua kukata rufaa.

NB: MBU..ila lile swala la Banda alilomuuliza baba yake... "why are you poor?" kwa kweli bado nalitafakari sana..sijapata jibu!
 
....since it's "TGIF".... huyu Madonna kwanini asinichukue mimi? chakula nitajigharamia.... :) :D

IMDb Video: Little Man

Hahahahahahaaa...kaka...sasa wewe unaweza kuanza kudai haki zile za kikubwa..duh..maana najua mahitaji yako na Banda ni tofauti ;-). Kwa hiyo ridhika na hiyo hiyo adoption policy ya Kikwete..kwani si unapata mahitaji muhimu ..."your best interests" are well taken care of..au?
 
Kaka, sasa mbona unaanza kumpangia Madonna namna ya kutumia pesa yake? pesa aliitafuta yeye..kwa hiyo ana haki ya kuitumia apendavyo. Leo inwezekana ukawa unavaa kiatu cha $200..Masanja anaweza kusema kwamba..kwa nini hiyo hela usingenunua viatu vya $ 20, nyingine ukanunua koti, shati au suruali..my point is...Madonna ana haki ya kutumia pesa yake the way she thinks fit. So is you...

Harafu mimi ndo maana niko sceptic na hawa human rights activists..kama alivyo sema muungwana MBU....huyu mtoto amemiss chance ya kuwa na maisha yake mazuri. Wewe muangalie Banda sasa hivi amewiva kama muungwana Masanilo anayekaa ughaibuni ;-)....

Tuache unafiki..kitu kama hatukiwezi tuwaachie wanaoweza...sana sana tungeulizia vitu vya msingi..mfano..haki ya mtoto kuja kuwaona wazazi kila baada ya kipindi fulani..au kumruhusu mzazi kwenda kumtembelea mwanae..Ila siyo hizi kelele za kutetea archaic laws za wakoloni...

My heart goes to Madonna and Banda....hopeful some sane voices of reasons will appear somewhere in higher courts-incase akiamua kukata rufaa.

NB: MBU..ila lile swala la Banda alilomuuliza baba yake... "why are you poor?" kwa kweli bado nalitafakari sana..sijapata jibu!

Masanja,

Maelezo yangu uliyo ya-underline kama mfano hayakulenga katika kumpangia mtu jinsi ya kutumia pesa zake. Rather a generous attempt to justify an even distribution of resources in a community that has little if not none at all should a steady source of resource arise. I agree it is a rather socialistic way of looking at social dilemmas, but believe although somewhat inakinzana na mazingira yetu na jinsi tunavyo yachukulia hivi sasa, lakini, bado kuna nafasi yake. Nafasi ya kuwapatia wengi kukidhi mahitaji yao muhimu badala ya kuneemesha wachache kama mifano ya neema peponi.
 
Masanja,

Nafasi ya kuwapatia wengi kukidhi mahitaji yao muhimu badala ya kuneemesha wachache kama mifano ya neema peponi.

SteveD,

Madonna yeye ni mwanadamu..na ni mwanamke! Hawezi kuwahudumia watoto wote walioko ktk orphanages ktk Malawi leo hii!

Kama ameamua kuwachakua wawili ni sacrifice tayari na ameonyesha utu!

Ikumbukwe tayari ameanzisha charity Malawi inayosaidia 1000's of children!

Mchango wake even if is little..has made a diffrence in Malawi!

Morraly speaking- huyu Maddona mimi namfagilia sana! Nasema ana moyo wa kipekee regardless of her celebrity!
 
Hata mimi naanza kufikiria kuchukua hata mtoto mmoja wa mitaani na kuishi nae ktk familia yangu! Hope mama nae atakubali!

Potelea mbali..nitapunguza kunywa Tusker..niwe napata tu maji baridi!
 
...Rather a generous attempt to justify an even distribution of resources in a community that has little if not none at all should a steady source of resource arise. I agree it is a rather socialistic way of looking at social dilemmas, but believe although somewhat inakinzana na mazingira yetu na jinsi tunavyo yachukulia hivi sasa, lakini, bado kuna nafasi yake. Nafasi ya kuwapatia wengi kukidhi mahitaji yao muhimu badala ya kuneemesha wachache kama mifano ya neema peponi.

...SteveD naamini unapenda kusoma. Charity organisation aliyoanzisha madonna kusaidia Malawi ipo hapa;

[ame=http://en.wikipedia.org/wiki/Raising_Malawi]Raising Malawi - Wikipedia, the free encyclopedia[/ame]​


Raising Malawi

Raising Malawi is a charity non-profit organisation, co-founded by Madonna and Michael Berg in 2006 in conjunction with the Kabbalah Centre Charitable Foundation[1]. It is dedicated to helping with the extreme poverty and hardship endured by Malawi's one million orphans.

...kelele miiingi zinazopigwa sasa na vyombo vya habari hazilengi kwenye welfare ya mtoto, bali kumkomoa Madonna na hela zake...

I bet, the core reason ya madonna kumchukua Mercy James, ni kumuondolea upweke David Banda na pale atapokuwa na akili ya kujiuliza rangi yake ya ngozi, background yake nk...

Maskini Mercy james, ndio ataishia maisha yake yote ya utotoni kwenye orphanage! :(
 
Great "Breaking" News for Mercy James and Madonna!

High court ya Malawi imemruhusu Madonna kumu adopt Mercy James na kwenda kuishi naye New York,...
 
Great "Breaking" News for Mercy James and Madonna!

High court ya Malawi imemruhusu Madonna kumu adopt Mercy James na kwenda kuishi naye New York,...

Poa,

Safi!

Watu bwana!!!

Mtu anapata riziki/bahati yake halafu wanasheria uchwara wanamwekea kauzibe!!

Zanzibar Stars Taarabu wameimba hivi "Ama kweli Mungu akitaka kupa..hakuandikii barua!!! Ama kweli Mungu akikuandikia hakuwekie pazia!!! Hukupa kwa zake njia..mwenyewe anazijua!!"

Riziki hutoka kwa Mola!
 
Last edited:
Poa,

Safi!

Watu bwana!!!

Mtu anapata riziki/bahati yake halafu wanasheria uchwara wanamwekea kauzibe!!

""Ama kweli Mungu akitaka kupa..hakuandikii barua!!! Ama kweli Mungu akikuandikia hakuwekie pazia!!!""

...kabisa bana, atlast Mercy anaondoka "from Rags, to Riches!"

6a00d834fd7f7353ef01156eb9a68f970c-pi.0.0.0x0.613x439.jpeg

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom