makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 882
This is cheap propaganda, leo hii magazeti yameandika mwenyekiti wao wa Halmashauri jana kaungana na wenzake kuhama CCM.Kiongozi nakwambia hawa mafisadi wana wakati mgumu na haijawahi watokea tangu tuwe huru! Wanatapatapa tu,yao ngumu safari hii hawataisahau katika historia yao!!!!!!