Madiwani wawili wa chama cha wananchi CUF kata ya Kilindoni,Athman Mussa Mbonde na wa kata ya Jibondo, Hassan Mohamed Hassan wilayani Mafia wamerejea kwenye chama cha mapinduzi(CCM) katika ofisi za chama cha mapinduzi CCM Wilaya ya mafia mkoani Pwani.
Wameamua kufanya hivyo wakiunga mkono jitihada za Rais Magufuli na chama cha mapinduzi(CCM).
Wameamua kufanya hivyo wakiunga mkono jitihada za Rais Magufuli na chama cha mapinduzi(CCM).