jamani hii sio sawa kwa maana ya kuwatishia usalama wao. Kuna namna ya kistaarabu ya kuwaonesha kuwa walilofanya sio sahihi.
Nawaomba watanzania wenzangu wa arusha muwe makini kuonesha hisia zenu. Msiwadhuru tafadhali...bado ni watanzania wenzetu tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.