Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Kama kuna siku kikwete alilala na kuomba basi ni kumchagua huyu bwana mkuu wa mkoa wa jro
kwa kweli amenifurahisha sana sana kwa kukataa kwenda kwa watendaji 58 ati wanaenda kigali
na kutumia million 200 kwa siku tatu...huu ni upuuzi kabisa kisa wanaenda kutafuta njia
za kuweka mji safi nini kipya jamani.....???usafi upi mnaufwata jamani
kwa kweli amenifurahisha sana sana kwa kukataa kwenda kwa watendaji 58 ati wanaenda kigali
na kutumia million 200 kwa siku tatu...huu ni upuuzi kabisa kisa wanaenda kutafuta njia
za kuweka mji safi nini kipya jamani.....???usafi upi mnaufwata jamani