Lwamadovela
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 325
- 235
mji ndo unapanuka we vipiBaraza la madiwani wa manispaa ya Iringa chini ya Chadema mmetuumiza sana kwa kuihamishia porini stendi kuu ya mabas
Wananchi wanateseka kwa kweli.
Niishie hapo
ccDC Kasesera, MB Msigwa, Kamanda Allen Kilevela wa Jf