Madiwani wa Chadema Iringa kwanini mnatutesa wananchi kwa kuhamishia stendi kuu Igumbile nje ya manispaa?!

Baraza la madiwani wa manispaa ya Iringa chini ya Chadema mmetuumiza sana kwa kuihamishia porini stendi kuu ya mabas

Wananchi wanateseka kwa kweli.
Niishie hapo

ccDC Kasesera, MB Msigwa, Kamanda Allen Kilevela wa Jf
Wewe ni mhuni tu, Igumbile haipo Iringa ipo Chato
 
Moja ya vitu vya kupongezwa kabisa ni pamoja na kuhamishia stand ya mabasi IGUMBILO,hii inaifanya manispaa ipanuke,fursa za kibiashara kuongezeka na hatimaye kuongeza mapato ya manispaa pamoja na serikali kwa ujumla.

Hii ndiyo faida ya kuwa na viongozi wenye maono,adha ni za muda mfupi tu,bqqdq yq hapo ni mwendo wa kufaidi tu!

Sio sawa na hii tabia ya kuanzisha miradi inaishia njiani na kuanza miradi mipya wakati tayari pesa zetu nyingi tumeziwekeza huko,mfano ujenzi wa bomba la gas kutoka Mtwara kuja Dar,tulitumia pesa lukuki za mkopo,tunaendelea kulipa lakini mradi umeshajifia!
 
Kuamishwa stand ni jambo jema lakini inabidi gari zinazotoka dar ziwe zinakuja kushushia watu huku mjini mana kama mtu anakaa ilala au mwangata inabidi achukue tena tax apo tena anakuwa na mizigo hapo 20k inakatika
 
Kuamishwa stand ni jambo jema lakini inabidi gari zinazotoka dar ziwe zinakuja kushushia watu huku mjini mana kama mtu anakaa ilala au mwangata inabidi achukue tena tax apo tena anakuwa na mizigo hapo 20k inakatika
Si starehe zako tu daladala zipo mpaka saa mbili usiku sasa kama utatoka dar saa tano ili ushuke igumbilo terminal uanze kuwalaumu madiwani walioamua kupanua mji utakua ni mufilisi kwa head
 
Baraza la madiwani wa manispaa ya Iringa chini ya Chadema mmetuumiza sana kwa kuihamishia porini stendi kuu ya mabas

Wananchi wanateseka kwa kweli.
Niishie hapo

ccDC Kasesera, MB Msigwa, Kamanda Allen Kilevela wa Jf
Sasa uliambiwa malalamiko hayo ulete hapa? Bongo bwana vitu vingine si mnaenda tu ofisini kwao kuuliza mpate majibu
 
Moja ya vitu vya kupongezwa kabisa ni pamoja na kuhamishia stand ya mabasi IGUMBILO,hii inaifanya manispaa ipanuke,fursa za kibiashara kuongezeka na hatimaye kuongeza mapato ya manispaa pamoja na serikali kwa ujumla.

Hii ndiyo faida ya kuwa na viongozi wenye maono,adha ni za muda mfupi tu,bqqdq yq hapo ni mwendo wa kufaidi tu!

Sio sawa na hii tabia ya kuanzisha miradi inaishia njiani na kuanza miradi mipya wakati tayari pesa zetu nyingi tumeziwekeza huko,mfano ujenzi wa bomba la gas kutoka Mtwara kuja Dar,tulitumia pesa lukuki za mkopo,tunaendelea kulipa lakini mradi umeshajifia!
Acheni ujinga kama kwenda huko maporini ndio maendeleo basi jengeni access road au bypass iunge Kati ya barabara ya Dodoma na Tanzam sio kukomboa watu kwa kisingizio cha kupanua mji
 
Hapo tu ni ngazi ya udiwani wangeshika nchi watu wote tungeishi baharini.
Nenda Dodoma,utajuta kujua walioshika nchi sasa hivi,kama nako ni CHADEMA,basi vyama vya siasa vinatutesa.
 
Baraza la madiwani wa manispaa ya Iringa chini ya Chadema mmetuumiza sana kwa kuihamishia porini stendi kuu ya mabas

Wananchi wanateseka kwa kweli.
Niishie hapo

ccDC Kasesera, MB Msigwa, Kamanda Allen Kilevela wa Jf
Mbona leo sijakaona kale kamsemo kako ka "Development has no party"
 
Back
Top Bottom