Madiwani wa CCM na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato (CCM) wamekamatwa katika Operesheni Sangara II, mwaka 2018, kwa tuhuma za kujihusisha na uvuvi haramu Ziwa Victoria. Waziri Mpina amesema wote wamekiri kosa, na sasa wataanzisha mahakama inayotembea ili kuwashtaki watuhumiwa.