JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Kiteto mkoani Manyara, limepitisha rasimu ya bajeti ya bil 25,197,685,726.75 kwa mwaka 2020/2021.
Maeneo ya vipaumbele ni kuboresha ukusanyaji wa mapato, kutenga 10% za vijana akinamama na walemavu, kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na mifugo, kukamilisha upimaji wa vijiji, utoaji wa elimu bila malipo shuleni, kuongeza kiwango cha ufaulu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maeneo ya vipaumbele ni kuboresha ukusanyaji wa mapato, kutenga 10% za vijana akinamama na walemavu, kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na mifugo, kukamilisha upimaji wa vijiji, utoaji wa elimu bila malipo shuleni, kuongeza kiwango cha ufaulu.
Sent using Jamii Forums mobile app