Madiwani Kiteto wapitisha rasimu ya bajeti ya bil. 25, kwa mwaka 2020/2021

JAMHURI

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
449
60
Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Kiteto mkoani Manyara, limepitisha rasimu ya bajeti ya bil 25,197,685,726.75 kwa mwaka 2020/2021.

Maeneo ya vipaumbele ni kuboresha ukusanyaji wa mapato, kutenga 10% za vijana akinamama na walemavu, kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na mifugo, kukamilisha upimaji wa vijiji, utoaji wa elimu bila malipo shuleni, kuongeza kiwango cha ufaulu.

IMG_20200129_102208.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Kiteto mkoani Manyara, limepitisha rasimu ya bajeti ya bil 25,197,685,726.75 kwa mwaka 2020/2021.

Maeneo ya vipaumbele ni kuboresha ukusanyaji wa mapato, kutenga 10% za vijana akinamama na walemavu, kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na mifugo, kukamilisha upimaji wa vijiji, utoaji wa elimu bila malipo shuleni, kuongeza kiwango cha ufaulu.

View attachment 1341112

Sent using Jamii Forums mobile app
Zigo la walalahoi Wanyonge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom