Kulikuwa na mjadala hapa kuhusu Julius Kalanga kuhama au kutohamia chadema. Sasa imedhihirika kuwa alikuwa anasubiri kukusanya kundi la madiwani wa monduli ambapo kesho watahamia chadema. Maandamano makubwa yatafanyika kutoka monduli kwenda mjini Arusha kutangaza rasmi. Yeye mwenyewe ndie amezungumza na daily news.
Source: Daily News uk wa 6. Huwezi amini daily news imekuwa ya kizalendo inaweza kuandika habari kama hizi na hata ya kuhama wanachama 2400 kwenda chadema wameiandika. Kivunjwe chama cha majambazi!
Source: Daily News uk wa 6. Huwezi amini daily news imekuwa ya kizalendo inaweza kuandika habari kama hizi na hata ya kuhama wanachama 2400 kwenda chadema wameiandika. Kivunjwe chama cha majambazi!