Katika hali isiyo ya kawaida madiwani wa Halmashauri ya wilaya Muleba huko Mkoa wa kagera wamegomea bajeti ya halmashauri hiyo hali iliyopelekea Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kulia mbele ya madiwani baada ya kushindwa kuitetea bajeti hiyo.Ikafikia wakati mkurugenzi huyo(Mwanamama) kuwatupia lawama wakuu wa idara kwa kutoa bajeti feki isiyoozingatia viwango na kudai amedhalilishwa sana na wakuu hao wa Idara kula posho nyingi halafu wanatoa bajeti mufilisi.
Source:ITV Habari
Source:ITV Habari