baraka moze
Member
- Apr 21, 2012
- 99
- 3
Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Ileje wamemsimamisha kazi Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Bi. Sylivia Siriwa kwa madai ya kuhusika na hujuma na ubadhirifu wa mali za halmashauri hiyo.
Na akaomba radhi mara kadhaa.
Na akaomba radhi mara kadhaa.