Madiwani 11 wa CHADEMA wakiongozwa na Meya wa Jiji la Mbeya wahamia CCM

Wananchi wangapi wamejiunga CCM? Au wana-CHADEMA wangapi ambao sio viongozi wametimkia huko CCM?
 
Issue siku wapiga kura wakihamia CCM ndo itakua habari

Wapiga kura wako kimya ila sio majuha

Wanahongwa wanasiasa sababu chama kinafahamu hakiwezi kupata wapiga kura

Kumtoa mtu upinzani na kumpa nafasi CCM inamaanisha mko dhaifu

Mpeni Mbowe urais ss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Em kaka waza tena
Shida iko wapi,kwann wahame wanasiasa na isiwe juhudi ya CCM ionekane kwa wananchi
Tuseme CCM wako bora zaidi
Iweke wiki ya wao kusema walichofanya na upinzani wasimame waseme wana nn cha kufanya

Una miradi ya kutosha na dola na bado usijiamini kweli

Hatuko dhaifu kiasi cha kutoona yanayoendelea
Kuna uwezekano kuna siri kubwa sana ambayo hawa wanao hama wanaoneshwa ukweli, mfano labda kuna usaliti mkubwa sana kwa nchi unaendelea nyuma ya pazia na jamaa wakioneshwa ushahidi usio kuwa na shaka wanaona afadhali waende CCM kuliko kuuza nchi.

Hizi ni hisia tu, huenda sipo sahihi.
Haiingii akilini kufikiria viongozi wengi namna hii wa upinzani hasa CDM wanaenda CCM kwa kuongwa pesa.
tena wanatoka kila kona ya nchi , hadi jimboni kwa Mwenyekiti wa CDM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe ndiyo kima kabisa, kununuliwa kwa wapinzani siyo lazima wapewe pesa mkononi, tatizo vichwa vyenu vipo na kamasi tu ubongo ulishatolewa kitambo! Hao wapinzani hawana tofauti na mijusi wa kijani pale lumumba. Kama hakuna tume huru uchaguzi hakuna, wagombea wote wa ccm watapita bila kupingwa yaani kwa 99.99%.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukinitukana mimi haisaidii kuzuia wapinzani kwenda CCM, wala haiwarudishi upinzani waliokwisha hama.

Tatizo lililopo mbele yetu wewe na mimi na viongozi wetu wa upinzani ni kutafuta namna ya kuzuia wasiondoke wengine wengi na kujaribu kuwavuta wapya au wale wale warudi kundini.

Matusi ni kipimo cha uwezo mdogo wa kuhimili changamoto, naweza kusema ni udhaifu mkubwa.
Badala ya kutumia akili yako kubwa kuchangia hoja chanya unapoteza muda na nguvu kutukana watu ambao hawakusatahili, na hakuna binadamu anae stahili kutukwanwa na mtu mwenye akili timamu labda na mtoto mdogo mwenye malezi mabovu au kichaa.
 
Bila Polisi Usalama na Jeshi hakuna mwanachama mtiifu wa CCM. Ukisikia CCM ni hao

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hisia pembeni, shauri nini kifanyike.
Acha kujiliwaza na hoja nyepesi, unaamini kabisa wale walishikiwa mtutu wa bunduki na kushurutishwa na vyombo vya ulinzi na usalama ulivyo vituhumu?

Au walipigwa mabomu ya machozi?
 
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.

Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.

Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
Chadema wangethubutu kufanya hivyo wangekiona chamoto.
 
Titi linakuwasha
Kuna uwezekano kuna siri kubwa sana ambayo hawa wanao hama wanaoneshwa ukweli, mfano labda kuna usaliti mkubwa sana kwa nchi unaendelea nyuma ya pazia na jamaa wakioneshwa ushahidi usio kuwa na shaka wanaona afadhali waende CCM kuliko kuuza nchi.

Hizi ni hisia tu, huenda sipo sahihi.
Haiingii akilini kufikiria viongozi wengi namna hii wa upinzani hasa CDM wanaenda CCM kwa kuongwa pesa.
tena wanatoka kila kona ya nchi , hadi jimboni kwa Mwenyekiti wa CDM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We shughulika kunyonyesha huko CCM ya upinzani hayakuhusu
Weka hisia pembeni, shauri nini kifanyike.
Acha kujiliwaza na hoja nyepesi, unaamini kabisa wale walishikiwa mtutu wa bunduki na kushurutishwa na vyombo vya ulinzi na usalama ulivyo vituhumu?

Au walipigwa mabomu ya machozi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika demokrasia yetu wabunge na madiwani wanachaguliwa kupitia vyama vya siasa. Kwa hiyo, wananchi wanakipigia kura chama ambacho huyo anayegombea anakiwakilisha. Ndio maana mbunge /diwani anapopeza sifa ya kuwa mbunge pale uhusiano wake na chama anachowakilisha unapovurugika. Sasa ni kwa nini ufanyike uchaguzi mpya pale ambapo mbunge/diwani anapotoka kwenye chama alichowakilisha ilhali chama bado lipo? Si ingekuwa haki zaidi, chama kipewe fursa ya kupendekeza mwakilishi mwingine ambae ataendeleza sera ambazo ziliwafanya wananchi wakipigie kura? Hii ingeruhusu wale ambao wanapoteza imani na chama chao kuondoka bila kuleta athari yeyote kwa wananchi. Aidha, gharama za kurudia chaguzi zingepungua sana. Na hii ifanyike hata kwa wale wawakilishi ambao wanapoteza uhai au afya zao zitawazuia kuendelea na uwakilishi. Au hata wakipoteza sifa kwa kifungo.

Amandla.....
 
Katika demokrasia yetu wabunge na madiwani wanachaguliwa kupitia vyama vya siasa. Kwa hiyo, wananchi wanakipigia kura chama ambacho huyo anayegombea anakiwakilisha. Ndio maana mbunge /diwani anapopeza sifa ya kuwa mbunge pale uhusiano wake na chama anachowakilisha unapovurugika. Sasa ni kwa nini ufanyike uchaguzi mpya pale ambapo mbunge/diwani anapotoka kwenye chama alichowakilisha ilhali chama bado lipo? Si ingekuwa haki zaidi, chama kipewe fursa ya kupendekeza mwakilishi mwingine ambae ataendeleza sera ambazo ziliwafanya wananchi wakipigie kura? Hii ingeruhusu wale ambao wanapoteza imani na chama chao kuondoka bila kuleta athari yeyote kwa wananchi. Aidha, gharama za kurudia chaguzi zingepungua sana. Na hii ifanyike hata kwa wale wawakilishi ambao wanapoteza uhai au afya zao zitawazuia kuendelea na uwakilishi. Au hata wakipoteza sifa kwa kifungo.

Amandla.....
hlo haliwezekani maana pamoja na kuangalia chama pia tunamuangalia na mtu anaye gombea huwezi kupenda chama hata akiwekwa mtu ambaye unajua kabisa hawezi kuwatumikia tumpe tu kura haiwezekani
 
Back
Top Bottom