Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo madirisha ya zamani yanafungukia kwa ndani?Nuumba yangu Ina MADIRISHA ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.View attachment 1676536View attachment 1676537View attachment 1676538
Uko mkoa gani hapa nchini? Hilo zoezi linawezekana mimi ni fundiNyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Dar, wewe uko wapi?uko mkoa gani hapa nchini? hilozoezi linawezekana mimi ni fundi
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Kwa nini uliweka hayo madirisha mzee baba??Dar, wewe uko wapi?
Nimekucheki PM Mkuu.... tufanye kaziNyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Napata wasiwasi kama umesoma alichokiandika...hehehKwa nn uliweka hayo madirisha mzee baba??
Au haukuwa na hela ya aluminum?
Hili eneo lina shida ya maji, kama una pesa chimba kisima mzee baba.Nyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Umeandika nini hapa mkuu?Kwa nn uliweka hayo madirisha mzee baba??
Au haukuwa na hela ya aluminum?
Inawekana kabisa, tena hata wale wakata mikasi (vibaka)watasumbuka kidogo maana watakutana na nondo badala ya flat bar.Nyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Faida zakeNaomba kujuzwa je aluminium windows ni nzuri kwa mikoa kama dar kutokana na hali yake ya hewa ua ni ushamba na ulimbukeni wa fasheni maana naishi kwenye nyumba ya madirisha ya aluminium lakini huwa natamani kuyangofoa na in fact kiyoyozi nacho kila wakati ni matatizo matupu labda wabuni madirisha ya aluminium yanayofunguka na siyo haya yanayofunguka kiduchu infact this is #shits ebu tusaidiane mawazo