Hayo madirisha ya zamani yanafungukia kwa ndani?Nuumba yangu Ina MADIRISHA ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox. View attachment 1676536 View attachment 1676537 View attachment 1676538
Ndiyo yanafumguka kwa ndaniHayo madirisha ya zamani yanafungukia kwa ndani?
Nipo Dar Pugu Kajiungeni
uko mkoa gani hapa nchini? hilozoezi linawezekana mimi ni fundiNyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Dar, wewe uko wapi?uko mkoa gani hapa nchini? hilozoezi linawezekana mimi ni fundi
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Kwa nn uliweka hayo madirisha mzee baba??Dar, wewe uko wapi?
Nimekucheki PM Mkuu.... tufanye kaziNyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Napata wasiwasi kama umesoma alichokiandika...hehehKwa nn uliweka hayo madirisha mzee baba??
Au haukuwa na hela ya aluminum?
Mbona nimeshalujibu, hebu kachungulie.Nimekucheki PM Mkuu.... tufanye kazi
Hili eneo lina shida ya maji ,kama una pesa chimba kisima mzee babaNyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Mkuu habari.Nyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Umeandika nini hapa mkuu?Kwa nn uliweka hayo madirisha mzee baba??
Au haukuwa na hela ya aluminum?
Inawekana kabisa,tena hata wale wakata mikasi (vibaka)watasumbuka kidogo maana watakutana na nondo badala ya flat bar.Nyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilibyoonueshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
View attachment 1676538
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us
Thread starter | Title | Forum | Replies | Date |
---|---|---|---|---|
M | Natafuta fundi wa madirisha ya grill | Jukwaa la Ujenzi na Makazi | 10 |