Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Ripoti ya madini imetoka na majigambo mengiiiiii kuwa mapato yameongezeka kutoka bilioni mia na kitu hadi mia nne kutoka makampuni ishirini na kitu.
swali ninalojiuliza kwa kuwa kujenga km 1 ya lami ni 1 bilion na urefu wa barabara ya do to dar ni kama km mia tano na kitu hiyo hela ya madini kwa mwaka haiwezi kumaliza hiyo barabara kwa nini tunachimba madini?
na cha ajabu mpaka siment ipo kundi la madini(kama sijasikia vibaya).
sasa wadau nisaidieni tanzania tuna km ngapi za barabara?na kama tutaamua kutumia rasilimali zetu za madini itatuchukua miaka mingapi kumaliza hizo barabara?
je kweli madini yana thamani ndogo kuliko bia?
MSAADA WENU UTANISAIDIA SANA.
swali ninalojiuliza kwa kuwa kujenga km 1 ya lami ni 1 bilion na urefu wa barabara ya do to dar ni kama km mia tano na kitu hiyo hela ya madini kwa mwaka haiwezi kumaliza hiyo barabara kwa nini tunachimba madini?
na cha ajabu mpaka siment ipo kundi la madini(kama sijasikia vibaya).
sasa wadau nisaidieni tanzania tuna km ngapi za barabara?na kama tutaamua kutumia rasilimali zetu za madini itatuchukua miaka mingapi kumaliza hizo barabara?
je kweli madini yana thamani ndogo kuliko bia?
MSAADA WENU UTANISAIDIA SANA.