The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
Wana JF,
Waziri wa Nishati na Madini Prof Muhongo amesema serikali itaendelea na uchimbaji wa madini ya Urani huko Namtumbo mkoani Lindi
Pascal Daures mtaalamu kutoka European Unions amesema atahakikisha usalama unapatikana
My take;
Pamoja na uchimbaji wa madini haya mbalimbali mbona Tanzania bado maskini ?
The Fixer,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Waziri wa Nishati na Madini Prof Muhongo amesema serikali itaendelea na uchimbaji wa madini ya Urani huko Namtumbo mkoani Lindi
Pascal Daures mtaalamu kutoka European Unions amesema atahakikisha usalama unapatikana
My take;
Pamoja na uchimbaji wa madini haya mbalimbali mbona Tanzania bado maskini ?
The Fixer,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums