witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,096
Hakufia kifuani kumbeAbacha aliwekewa sumu na hao makahaba kwenye juice...
Hakufia kifuani kumbeAbacha aliwekewa sumu na hao makahaba kwenye juice...
Ndio maana nimewekaMleta mada ,jifunze kuwa mtafiti,humu jf Kuna wasomi wa kushiba,na watu mbalimbali.umeleta umbea sio taarifa kamili.abacha ana historia ndefu sio huu umbea uliouleta hapa kiufupi, give us full histry ,sio kipande
Matumizi ya mundende ilimponza
Ova
Mtoe jpm kwenye list hiyoDuh kama alivyokufa Nkurunzinza na Magufuli kizembe sana
Nyingine ni diplomasia tu.Abacha aliwekewa sumu na hao makahaba kwenye juice...
Abacha aliwekewa sumu na hao makahaba kwenye juice...
Nyingine ni diplomasia tu.
Wakisema alifia juu itakuwa ni aibu kubwa.
Ndio maana hata Magu hawasemi kafa kwa Corona
Huku mtaani hakuna aliyewahi kutangazwa kafa kwa UKIMWI.
MmmmmhYenyewe hujifanya ni miungu watu sasa Mungu wa kweli uwa anawaonesha kuwa yeye ni zaidi,kuna moja lilitaka kuoza kwenye friji kwani lilivyokufa wapambe wake wakawa wanaona aibu kulitangaza kama limekufa
Alikuwa mtu wa ttz sanaAbacha aliwekewa sumu na hao makahaba kwenye juice...
Sawa,wamemtoa gaddafi lakini mbona nchi haikaliki mkuuGhadafi alifia kwa kipondo alichopata toka kwa wanachi wake
Sometimes wanasema kwenye matunda. Hii theory huwa nakubaliAbacha aliwekewa sumu na hao makahaba kwenye juice...
mbona kipondoGhadafi alifia kwa kipondo alichopata toka kwa wanachi wake
Muacheni babu jamanYule wa Chad aliuliwa na kuruta muasi wa wiki mbili jeshini baada ya kurushiwa chupa tupu ya pepsi kichwani kwenye mapigano huko jangwani karibu na mpaka wa Libya
Sasa huyu Mseveni atatumbukia chooni ndo utakuwa mwisho wake