Umenikumbusha Martin Meredith.Madikteta huwa wanakufa kizembe sana
Mlikuwa mnasifia viongozi kutosafiri? Mnamfahamu Jenerali Sani ABACHA?
Yeye sio tu kwamba alikuwa hapendi kusafiri bali katika kipindi chote cha utawala wake hakuwahi kukanyaga Lagos...
Alikuwaga ka-chill zake Aso Rock Abuja, anatembeza kipondo kwa upinzani na kujitajirisha
Wakati wa uchaguzi vyama 5 vya "upinzani" viliitisha mikutano mikuu na kumpitisha kama mgombea wao, kama ilivyofanya TLP ya Mrema mwaka jana.
June 8, 1998, Mungu aliingilia kati suala la wanaijeria, jamaa alifia kwenye "mzigo" wa wanawake wawili wa kihindi.
View attachment 1830589
Madikteta huwa wanakufa kizembe sana
Mlikuwa mnasifia viongozi kutosafiri? Mnamfahamu Jenerali Sani ABACHA?
Yeye sio tu kwamba alikuwa hapendi kusafiri bali katika kipindi chote cha utawala wake hakuwahi kukanyaga Lagos...
Alikuwaga ka-chill zake Aso Rock Abuja, anatembeza kipondo kwa upinzani na kujitajirisha
Wakati wa uchaguzi vyama 5 vya "upinzani" viliitisha mikutano mikuu na kumpitisha kama mgombea wao, kama ilivyofanya TLP ya Mrema mwaka jana.
June 8, 1998, Mungu aliingilia kati suala la wanaijeria, jamaa alifia kwenye "mzigo" wa wanawake wawili wa kihindi.
View attachment 1830589
Duh kama alivyokufa Nkurunzinza na Magufuli kizembe sana
Mshana Jr unatutishaHata kayafa alikufa kizembe sana.. Wembe ndani ya asali
Hamna anayejua Adolf Hitler alikufaje,ni story tu za kusadikiaka ndio zimebaki.yule ndio alikuwa mwamba.Hitler alikufaje mkuu?