Elections 2010 Madhehebu yaungana na Kakobe kusali Jumamosi: Ni PCT, TEC na CCT

Siku 28 kabla ya Watanzania kupiga kura ya kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani, madhehebu kadhaa ya Kikristo nchini yameungana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe, kutofanya Ibada Jumapili ya Oktoba 31, badala yake Ibada zutafanyika Jumamosi Oktoba 30.

Akiongea na Jibu la Maisha, katika mahojiano maalumu kwa njia ya simu Jumatano, mchana, Katibu Mkuu wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (PCT) David Mwasota, alisema kuwa wao walikwisha ijadili katika foramu ya Kikristo iliyofanyika Julai mwaka huu.

"Tumekubaliana na makanisa yote ya Kikristo pasipo kujali itikadi zetu za dini kuwa siku ya Jumamosi ndio itakuwa siku ya ibada badala ya Jumapili, ili watu wetu washiriki bila kipingamizi chochote katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumapili Oktoba 31 mwaka 2010", alisema Katibu Mkuu wa PCT, Askofu David Mwasota.

CHANZO: Gazeti Jibu la Maisha - Oktoba 3-9, 2010

Mkuu hili gazeti ni la Tanzania? Linatoka lini na wapi?
 
Umejiunga leo! umekuja na post hii! umetumwa nini na kakobe..?!


kama umekosa cha kusema kaa kimya maana naona hujitambui,mtu katoa topic if u don feel like saying something wise better be quet,anyway sio kosa lako may be una matatizo
 
Usitishe watu wenye akili zao wewe!
Ngoja basi tumpe ile maneno kama itakupendeza!

SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS

Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:

1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.

2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui mabaya, au kuweza kuleta maudhi yoyote kwa wajumbe ama kwa wingi wake, ukubwa wake, au mfumo wake.

3. Kuleta makala au kuendeleza mijadala yenye kuleta ugomvi, uchochezi na yenye muelekeo wa kutengenishana badala ya kuungana miongoni mwa wajumbe wa JAMII FORUMS na Watanzania wote kwa ujumla.

4. Kuleta maongezi binafsi baina ya mwanachama na mwanachama (waliojisajili) waliyoongea kwa kuaminiana kutoka katika Private Messages (PM) au barua pepe (Emails) na kuyaanika hadharani kwa nia ya kuchafuana.

5. Kusambaza kwa makusudi au kwa uzembe barua zenye virusi vya kompyuta.

6. Kutoa maelezo au shutuma dhidi ya mwanachama mwenzako, kiongozi wa au watu wenye hadhi kijamii bila kuwa na ushahidi wa kutosha kwa lengo la kuchafua rekodi safi ya mhusika kijamii.

7. Ni sharti kwa kila mwanachama kutoa maelezo au mchango wake kwa uwazi na ukweli na kutomuogopa yeyote wala kumpendelea yeyote bali kuweka mbele maslahi ya taifa.

8. Kila mwanachama yupo huru kutoa maoni yake mradi yaliyotajwa hapo juu yanazingatiwa.

Hatua za kinidhamu zinaweza kuchukuliwa dhidi ya yeyote yule atakayeshindwa kuzingatia maelezo hayo hapo juu.

Other Rules to be noted:

1 - Flaming, Bashing, and Trolling:

Hate posts and personal attacks will not be tolerated on the boards. Treat others on these message boards as you would expect them to treat you. Posting topics specifically designed to provoke a negative response from someone (aka trolling) is also asked to be avoided.

2 - Profanity:
Profanity is not tolerated in the board, some words will be censored, also there is to be no name calling, doing so will give you a warning, and then a ban if you continue.

3 - Spam:
Purposely spamming a message board with senseless, vacuous, or empty messages to gain a higher post count, or just to annoy others is HIGHLY frowned upon! Commercial spamming and advertising are just as unwelcome unless it is done in the special designed area. Promoting your site is only allowed with permission of the site owners. Bumping old threads is allowed in the request forums, but needless bumps in other forums will be classed as spam.

4 - Email & Private Message Spam:
If the members are using the private message facility to spam the others with pointless, unsolicited mail they will be banned. If anyone receives one of these messages, please contact an admin immediately.

5 - Piracy, and Warez:
We do not mind discussions about piracy or warez, as long as they are just that...discussions. Linking or giving information about any site that distributes illegal software, or warez, seeking help to circumvent any copyright laws, or encouraging software or media piracy grounds for an immediate ban.

6 - Impersonating Other Users / Accessing Another User Account:
You may not impersonate another board member or create an account specifically for the purpose of provoking other users. Also, accessing or using someone else's account or attempting to access another poster's account is strictly prohibited. You will be banned.

7 - Off-Topic Posts:
There is no major punishment for off-topic posters. But lets be honest, it drives us all mad!! If you have something to say but it really has nothing to do with the current thread you are in, please open a new thread for it. Otherwise it will just be deleted and won't solve anything at all.

8 - Circumventing a Ban:
If you log onto the forums and receive a message that you have been banned, please submit an unban request and wait for a staff member to get in touch with you. You may NOT re register under a new name if the software lets you. But, if you try to sign up again and we caught you, then it will become a permanent IP Ban. We do NOT send out notices that you have been banned.

9 - Nudity / Porn:
Please remember that this board is a PUBLIC forum. There are 12 year olds here just as there are 50 year olds. Nudity and porn is prohibited for obvious reasons.

10 - Signatures & Avatars:
We do not have any specific set of rules regarding signatures. However, we do ask you that it will not be offensive to others and the length should be within reason. If you desire to have a custom avatar, it must be 100x100 pixels or less. No adult, drug related or racist content please.

11. Do not post any copyrighted material unless the copyright is owned by you, except for brief credited excerpts to illustrate a point;

12. You will not post what is commonly called spam, which includes but is not limited to such things as advertisements, chain letters, pyramid schemes, solicitations, or promoting a particular cause or organization. Exceptions may be granted for worthy (in our sole opinion) causes if you obtain prior permission from us;

13. We reserve the right to ban any user temporarily or permanently, refuse posting from screen names we find offensive, edit or delete any post, limit postings on any topic, and shut down any topic altogether, for any reason, or no reason, without explanation or warning.

14. You are solely responsible for the content of your messages. We cannot verify content and thus accept no responsibility for it, nor do we vouch for the accuracy, completeness, or utility, of any message or the qualifications of any user.

15. Do not post private messages at JamiiForums or elsewhere without the express permission of the sender of the Private Message.

16. Do not engage in internet stalking. This includes, but is not limited to, following a JamiiForums member from site to site, or from thread to thread within this site; taking posts from JamiiForums in order to attack a poster at another site; and attempting to defame or discredit JamiiForums members on other sites for views they may have expressed at JamiiForums.

17 - Questionable Content:
Since we can't have a rule to cover everything, this is the rule to, well, cover everything. These are public boards, so act like you would if you were in a public place. These issues are left to the discretion of the individual moderators, but may include any material that is knowingly false and or defamatory, misleading, inaccurate, abusive, vulgar, hateful, harassing, obscene, profane, sexually oriented, threatening, invasive of a person's privacy, that otherwise violates any law, or that encourages conduct constituting a criminal offense.

Mkuki kwa guruwe kwa binadamu noma enhhh....

Hivi mnawaafanyaje wengine wanaokuja na ambayo hamyataki ama ahayendani na maslahi yenu???
 
Hatujawahi kuwa na kiongozi kimeo kama awamu ya nne. Jamani twendeni October31 tukaajiri mtu mwingine.
 
Elewa siyo habari yake hata source amekuwekea labda una jingine.
watu wanavisa kweli humu ndani nilidhani woote tungefurahia kwa hilo, kumbe wengine mnaona kama ni anguko lenu mnatamani hata watu wasiende kupiga kura kama mlivyofanya kwa wanafunzi wa chuo????
 
Habari hii si njema kwa mafisadi and co. maana siku hiyo itakuwa kutimiza kazi moja tu kuliondoa nduli CCM.
 
watu wanavisa kweli humu ndani nilidhani woote tungefurahia kwa hilo, kumbe wengine mnaona kama ni anguko lenu mnatamani hata watu wasiende kupiga kura kama mlivyofanya kwa wanafunzi wa chuo????
We nawe mbona hata hueleweki karibu uungane na mkombozi.
 
hongereni. lkn navyojua mimi hakuna binaadamu anaweza kubadilisha siku ya ibada hasa jambo kubwa kama hilo la sala. lkn kama wameamua. nadhani sio tatizo. niwajuavyo wakiristo wengi sana ni ccm. tangu enzi enzi, mwaka 95 hadi 005
Hata mimi nilikuwa CCM kama wewe.
 
kule kwa gwajima, siku ya jumamosi wanalala hapohapo wakikesha nakuombea taifa, siku ya jumapili wanaamkia kanisani asubuhi halafu wote kabla hawajaenda kulala kwasababu ya usingizi wa mkesha, wanapitia kupiga kura kwanza kabla ya yote. nilikuwepo pale jumapili hii iliyopita, na tulishatangaziwa kuwa hatutakuwa na ibada siku ya kupiga kura, badala yake jumamosi tutafanya ibada kama kawaida na jumapili tunaamkia kupiga kura hadi kieleweke. ngoma inogile kwa kweli..
 
maadamu wanachuo zaidi ya 60,000 watakosa uchaguzi mkuu, ni dhambi kwa wakristo pia kukosa kwani ni mchakato muhimu kwa kila mtanzania bila kujali dini; ila ungefanyika jmosi nina uhakika ingekuwa balaa kwa wasabato.
 
Gazeti hili linatoka Jumapili hapa DAR nilibahatika kulisoma na ilikuwa mara ya pili tu kusoma linaonekana ni la Wakristu.
 
kwani vile wakiristo watz washama ccm? sijui labda 2090
mbona nyie watu ccm hamueleweki, mnakimbia vivuli vyenu wenyewe! Nec iliyoundwa na JK wenu imeandikisha watu ili wapige kura, some religious organisation zinaitikia wito wa selikari ya ccm ya watu kupiga kura kwa kuondoa kitu ambacho kingekuwa kisingizio mnaanza kuingiza hoja za udini. Hivi kweli mnachukua hata sekunde kufikiri kabla ya kutoa comments zenu au mnafanya makusudi?
 
Nasikia mchungaji Gwajima naye katangazia washirika wake kuwa ibada ya 31 Oct itafanyika jmosi. Naona CCM wameshikwa pabaya. Walidhani uchaguzi ukiwa jumapili basi wakristo wengi (hasa wa mijini) watashindwa kupiga kura
 
Back
Top Bottom