strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,300
*YATOKANAYO
Ahahahahaaa hii kali
Mbona powa tu kapendeza, angevaa omari dompozi au wali wa akiba au ndugu yao muhasibu aka mume ya mtoto wa kwa idi amini mngesema ni fasheni.
Hahaha naona umetumia tafsida ya khari ya juu
Khari-Hali
Hii kama sio ngangaripoa bali medulla imeshaanza kutikisika*YATOKANAYO
Hii kama sio ngangaripoa bali medulla imeshaanza kutikisika
Ama kanyelamumo?
Duh hiyo kali kwa kweli lol*YATOKANAYO
kyaykyakyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa u made my day*YATOKANAYO
Saizi inabidi aitwe Babu ili abadili mtindo wa kuvaa.
kutafuta 'kick' mjini aghali
Duh hiyo kali kwa kweli lol
kyaykyakyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa u made my day
Kweli kabisa wangevaa hao hata Vijana wa dsm wangeanza kuiga kuvaaMbona powa tu kapendeza, angevaa omari dompozi au wali wa akiba au ndugu yao muhasibu aka mume ya mtoto wa kwa idi amini mngesema ni fasheni.