mmmmmmhhhhh,mkuu una undugu na robert mugabe??mr kusifia chips??Dah upate Zege na firigisi pembeni au kidali.. Alafu pilipili ya kusaga kachumbari ya matango ukwaju.. Unashushia na juice ya miwa au parachichi... Hatari sana
Hyo style ya vuruga hatar,,hapo wanachanganya na mishkaki,,,af kama wanapika kabisa,,matango pemben,,,,hatar sanaArusha na moshi kuna chips zinapikwa kwa mfumo wa VURUGA, yaani chips yai changanya pamoja na nyama ya kuku, ni kitamu sana. Hala hala kitambi mdebwedo
mtakula vibudu sana tu mje huku tule chikandaHata mimi hua napenda sana chipc yai, ila kuwe na kishombo shombo pembeni, mf: samaki, kuku(ndio zaidi ) au hata mshikaki,
#Zege4Life#
Shika adabu yako.mtakula vibudu sana tu mje huku tule chikanda
na hizo mimba ni zile zisizotarajiwaaaUtamu wa chipsi MIMBA by R.Mugabe
Daaah... kwa mchanganyiko huo ukitoa ushuzi hata mende wote walio eneo hilo watapoteza uhai.Dah upate Zege na firigisi pembeni au kidali.. Alafu pilipili ya kusaga kachumbari ya matango ukwaju.. Unashushia na juice ya miwa au parachichi... Hatari sana
Alowambia kwenye kituo hicho kuna great thinker nani??? Wao huwa ni washabiki tu wa lolote linalotokea.... enzi za Marehemu Amina Chifupa na kipindi chake cha ..... tena ndo kidogo nilikuwa nawakubali.Wakati kama taifa tunafikiria Tanzania ya Viwanda ndugu zetu wa Clouds fm wameandaa siku ya kula chips yai pale Zakhem Mbagala kesho. Daah nakulilia mama yangu Tanzania. Nashauri waandaaji wajifikirie upya.
umenena mukubwaHicho ni chakula cha mabachela na wanafunzi wa vyuo
Mlimani city sehemu gani wana chips yai,niko karibu na hapo,nielekeze nijongee,Nina hamu nayo mno hii kitu.Nilikuwa sauzi mwaka jana aisee niliteseka sana kule chips yai hakuna siku nimerudi nimetua airport brake ya kwanza mlimani City nikaagiza sahani tatu kwa hasira hii kitu ipo Tanzania tu
Hapo nje DDCMlimani city sehemu gani wana chips yai,niko karibu na hapo,nielekeze nijongee,Nina hamu nayo mno hii kitu.
Kwa moshi hii kitu inapatikana wapi mkuu?nielekeze nikapate.Arusha na moshi kuna chips zinapikwa kwa mfumo wa VURUGA, yaani chips yai changanya pamoja na nyama ya kuku, ni kitamu sana. Hala hala kitambi mdebwedo
Bar yoyote Moshi ukiagiza Chips vuruga unapataKwa moshi hii kitu inapatikana wapi mkuu?nielekeze nikapate.