Madhara ya vipodozi vya ngozi katika jinsia ya mwanamke

Sniper don

JF-Expert Member
Sep 30, 2018
288
463
Mambo VP wakuu..katika pitapita zangu katika vijiwe nimekutana na jamaa ambae ni bingwa wa research zinazohusu papuchi

Jamaa anasema kwamba asilimia kubwa ya wanawake wanaojichubua ngozi ya mwili ili wawe weupe Yale madawa yote yakishafanya kazi ya kuchubua ngozi halafu mabaki huenda kujirundika kwenye kinena yaani clitories hivyo hufanya kuwa kikubwa kuliko kawaida yaani kinanenepa zaidi..
Je kwa Dada zetu mnaopenda rangi za kizungu hii research ya huyu mwamba ni ya kweli??
Wale vidume wenzangu mmeshaliona hili pia katika zile harakati za utu uzima

N.B sijaongeza wala sijapunguza kitu kazi kwenu great thinkers
 
Back
Top Bottom