libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,367
- 3,382
Zile tetesi kwamba kuna chuki za kocha wa Taifa Stars dhidi ya kuuvaa mkenge wa Usimba na Uyanga leo umedhihirika baada ya timu aliyoiteua kutofua dafu kwa Taifa dogo la Rwanda na kutoka suruhu Kocha inabidi ajitathimini kama hii CHAN inahusu wachezaji wa ndani kwa nini hawasiliniani na makocha wa timu zingine zinazoshiriki ligi kuu ili achague the best player akaachana na huu Usimba na Uyanga leo unamchafua kwamba timu ya Taifa haijafanya vizuri kwa sababu ya mapenzi binafsi ya kocha.