Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
Inapendeza mkuu kusikia kumbe hata waliopo serikalini wangependa kuona pombe zinapigwa marufuku. lakini la kujiuliza ni je itawezekana?Hebu angalia madhara ya unywaji Pombe bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/80412-pombe-ina-magonjwa-60-kwa-binadamu.html