GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Leo nmetumiwa video ikionesha hatariii na madhara ya soda asee wakuu acheni kunywa soda, vinginevyo wakati unakunywa andaa na bajeti ya matibabu, nmeshindwa kui attach, mwenye nayo ataiweka,,,,
Ila wakuu soda mmmm basi
Hio inaitwa foods weapon. vumetengenezwa kupunguza population, watu mahiri na wasomi na viongozi hawanywi soda.