rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,183
- 20,137
Akifanyà hivyo atapata upinzani mkubwa roka chama chake kule Zanzibar inawezekana sababu ni takwa la kikatiba na nguvu za kisiasa hazipishaniLabda ni maneno tu ndio yanatofautiana maana lakini kitu ni kile kile.
Zanzibar wanaunda serikali ya mseto kwa mantiki ya kuwa, viongozi wa mihimili ya serikali wanatokana na vyama tofauti.
Lakini huu mseto wa samia, una lengo la kuwaleta watu wa vyama tofauti kuwa watendaji wa serikalini.
Kuna tofauti kati ya "viongozi" na "watendaji" katika serikali.
Mseto wa zanzibar ni viongozi, lakini mseto wa Tanzania ni watendaji.
Mfano mzuri ni Anna Mghwira RC wa Kilimanjaro.