Madhara ya pombe za bure kutoka CCM Igunga...

DON KILLUMINATI

Senior Member
Jan 2, 2011
193
83
320581_163430573738117_158108290937012_315590_985909421_n.jpg
 
hiiiiiiii iyo kali hapo wananchi wa Igunga ndo waamue wanaelekea wapi
 
hahahahahaa!!!
gongo hiyo!!
hawa ndio vijana wa ccm! hopeless kabisa
 
mh...atakuwa hata ameshindwa kuamka kupiga kura,ila magamba yameshahesabu kura yake wakati wakumpa hicho kinywaji gongo/coca cola
 
jezi wanzificha wanapofika mbele za watu wenye akili lakini huyu funda la mwisho limemuumbua.mia
 
Masikini Tanzania, hawa ndio taifa la kesho!!!!!!!!

Akitoka hapo hana hata senti ya kununua kikombe cha chai.

Maisha bora kwa kila mtanzania,

Tumethubutu, kunywa pombe,

Tumeweza, kumaliza mizinga ya konyagi,

Tunasonga, mbele kutafuta mizinga mingine.

uhuru oyeeeeeeeeeeee
 
Tena bila hata haya na tisheti mpya kabis imeandikwa IGUNGA am kweli
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom