Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 25,798
- 23,279
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI kweli kabisa, wana siasa wa Tanzania upinzani na chama tawala wanakabiliwa na tatizo kubwa sana la paranoia!
Laiti viongozi wangetembelea jf, nadhani wangejitathmini. Ni kweli kila MTU ana kakichaa to a certain degree lakini mwenzetu tunapoona amezidi ,tuamini ana paranoia.Paranoia haina chama Wakuu
Paranoia of the highest order!Laiti viongozi wangetembelea jf, nadhani wangejitathmini. Ni kweli kila MTU ana kakichaa to a certain degree lakini mwenzetu tunapoona amezidi ,tuamini ana paranoia. (1)Hivi kuna justification gani kufokea msaidizi wako mkuu kwenye kadamnasi, eg mkeo, your PM, foreign affairs minister, etc.(2) kuamini kuwa watu au nchi mlioshirikiana muda mrefu ghafla unataka tuamini kuwa hawatutakii mema katika muda huu, why.? Kuamini kuwa wewe umefanya Kazi kubwa umefanya mambo makubwa kuliko waliokutangulia, kama unaamini hivyo si uruhusu mjadala huru watu wakuonyeshe kuwa madhaifu yako ni haya . unaamua kugeuza watu wote ni punching bag kwa sababu unawasakama lakini huwapi nafasi ya kujitetea. Viongozi wawe na hofu ya MUNGU kama boss ya mboka anavyosema,itapendeza zaidi.
Akutegemea nafasi hio.Ni sawa na wa kijijini aruke stage badala ya kuja dar kwanza aruke moja kwa moja ubeberuniWazi kabisa, embu anza kwa kuangalia anayoyafanya waziri wa afya. Hata waganga wa kienyeji bado hawajafikia kiwango hicho cha ujuha.
Sio rahisi kuwafanyia hawa watu vetting ya mental state Mkuu, na sio hapa kwetu tu. Hata Marekani wana hilo tatizo.Vetting ikifanyika vyema hatuwezi pata paranoia, mental disorder.
HahhaahhaahahahTatizo hapa kwetu ni kubwa watu walilala ubalozini wengine waliibukia kenya vizuri ungewapatia tiba huko walipo!
Bila kusahau yule wa Belgium.Wapo wengi sana mkuu, ila kuona dalili na matokeo ni mpaka pale watakapo shika mpini. Mtu kama Jiwe, Ndugu y, misiba, kang logda, mambo now n.k Unaanzaje kuwatenga na Paranoa?
Inawezekana Sana unapima action zake zote tangu akiwa shuleni, utotoni,chuo, kazini then unazianalyse wataalamu wa tabia wanajua ndio imewasaidia wenzetu weupe kupata madereva bora thus magari yao hayapati ajali.Tabia Kama udikteta, ubinafsi, ulafi, undugu, ukabila,uchoyo,chuki,roho mbaya, visasi,ubabe ufisadi hizi ni inborn character hazijifichi ni mental disorder,paranoia habits hizi kwamba kichwani dishi halijakamata signals Kama signals haisomi unampaje lesseni ya udereva mtu Kama huyu lzm ataangusha gari.Sio rahisi kuwafanyia hawa watu vetting ya mental state Mkuu, na sio hapa kwetu tu. Hata Marekani wana hilo tatizo.
Hiyo ngumu sana, na kila chama kitapinga. Nadhani paranoia ni ugonjwa unaowashika wanasiasa wte, suala ni kwamba wanazidiana tu. Ndio maana kunakuwa na misururu sana ya wanasiasa kwenda Mlingotini, BagamoyoInawezekana Sana unapima action zake zote tangu akiwa shuleni, utotoni,chuo, kazini then unazianalyse wataalamu wa tabia wanajua ndio imewasaidia wenzetu weupe kupata madereva bora thus magari yao hayapati ajali.Tabia Kama udikteta, ubinafsi, ulafi, undugu, ukabila,uchoyo,chuki,roho mbaya, visasi,ubabe ufisadi hizi ni inborn character hazijifichi ni mental disorder,paranoia habits hizi kwamba kichwani dishi halijakamata signals Kama signals haisomi unampaje lesseni ya udereva mtu Kama huyu lzm ataangusha gari.
Mental fit hawezi kuwa na hasira,chuki,visasi, much know, kuabudiwa Ili akamilike.
Enyi masikini wa akili, ni lini mtaelewa maana ya chama cha upinzani? Kwamba kazi yao ni kukubaliana na chama tawala?Hata kupinga kila kitu nayo ni Paranoia.
tatizo lako ni utapiamlo wa akili, vua hilo koti la upumbavu ulilovaa uweze kujitambua na kuona nchi ilivyo ktk sitofahamu!Tatizo hapa kwetu ni kubwa watu walilala ubalozini wengine waliibukia kenya vizuri ungewapatia tiba huko walipo!
Hapo itategemeana na exposure na au you civilizedHiyo ngumu sana, na kila chama kitapinga. Nadhani paranoia ni ugonjwa unaowashika wanasiasa wte, suala ni kwamba wanazidiana tu. Ndio maana kunakuwa na misururu sana ya wanasiasa kwenda Mlingotini, Bagamoyo
tatizo lako ni utapiamlo wa akili, vua hilo koti la upumbavu ulilovaa uweze kujitambua na kuona nchi ilivyo ktk sitofahamu!
Kweli mwingine aliuguaga uchizi makatupola akiwa mafundishoKItu kikubwa nilichoona ni kwamba paranoia ni mental disorder! Tunaweza kuwa tunashangilia misimamo ya watu kumbe wana tatizo la mental disorder!
Vipi mkuu wa kaya?? Dalili zote hapo anazoTatizo hapa kwetu ni kubwa watu walilala ubalozini wengine waliibukia kenya vizuri ungewapatia tiba huko walipo!