Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Ilikuwa ni weekend hii iliyopita jumapili hii nilikuwa harusini ni mshikaji Wangu wa karibu ameowa lakini cha ajabu wazazi wake hawajui
Nilipokuwa ukumbini aliniita chobingo akaniambia haya mambo hataki kuyasikia nikiyazungumza wala nisungumze chochote nikionana na baba yake wala mama yake wasijue hiii issue ilivyoo
Nikamuuliza kwanini akaniambia kausha wale wazee sio wana mambo ya kizamani sana hivyo kuanzia mchakato wa Mali hadi harusi hawajui kitu kama nimeowaaa
Nilipokuwa ukumbini aliniita chobingo akaniambia haya mambo hataki kuyasikia nikiyazungumza wala nisungumze chochote nikionana na baba yake wala mama yake wasijue hiii issue ilivyoo
Nikamuuliza kwanini akaniambia kausha wale wazee sio wana mambo ya kizamani sana hivyo kuanzia mchakato wa Mali hadi harusi hawajui kitu kama nimeowaaa